Admin wa Social Media za Simba SC hastahili, atafutwe mwingine

Admin wa Social Media za Simba SC hastahili, atafutwe mwingine

NguoYaSikuKuu

JF-Expert Member
Joined
Jul 3, 2013
Posts
681
Reaction score
1,020
Huyu Admin amekuwa anapost kwenye ile page ya Simba SC kama vile ni page ya familia yake. Anaweza kupost kwa siku zaidi ya mara tano na mara nyigi anapost mipasho na kejeli zisizo na maana ikizingatia ile page ya Simba na timu kubwa nchini. Ukienda timu za wenzetu huwezi kuona huu upuuzi.

Juzi Ibrahim Ajibu kapostiwa zaidi ya mara nne kwa maneno mengi mengi yasiyo na weledi. Ina maana hawaigi hata huko wenzetu mechi ikiisha inaposti Results na picha moja tosha!

Haya mambo mengine waachiwe mashabiki au fan pages zisizo official za club .

Pia niliwahi kushauri huyu Bwana mdogo ile Handle ya Simba SC Tanzania inayotumika Facebook, Instagram na Twitter ni Ndefu na Ya kishamba.

Nilishauri Handle ziwe Simba SC , ila Huyu bwana mdogo bado anatumia Simba SC Tanzania , Nenda timu zote duniani sijawahi kuona huu upuuzi eti ukute timu inajiita Liver FC England au Rea Madrid Spain .

Kitu ambacho naona sio sawa.
 
Angalia posts za kina Ac Milan Twitter wanapost utani au angalia hizo hizo timu za England posts zao au huelewi posts za English?
Kila timu ina mtindo wake, mbona unakimbilia kuzungumzia Simba huzunguzii kina Ruvu shooting tweets zao.
 
Hebu umuache Admin wetu .. kuna watu wanajisifia kama Mbeya kwanza Fc .
 
Huwa nashangaa miafrika kudhani kila anachofanya Mzungu kisa kaendelea basi ndio sahihi.

Hata sisi tuna utamaduni wetu pia, ambao ni lazima tuuishi.

Sent from my TECNO RC6 using JamiiForums mobile app
 
Huyu Admin amekuwa anapost kwenye ile page ya Simba SC kama vile ni page ya familia yake. Anaweza kupost kwa siku zaidi ya mara tano na mara nyigi anapost mipasho na kejeli zisizo na maana ikizingatia ile page ya Simba na timu kubwa nchini. Ukienda timu za wenzetu huwezi kuona huu upuuzi.

Juzi Ibrahim Ajibu kapostiwa zaidi ya mara nne kwa maneno mengi mengi yasiyo na weledi. Ina maana hawaigi hata huko wenzetu mechi ikiisha inaposti Results na picha moja tosha!

Haya mambo mengine waachiwe mashabiki au fan pages zisizo official za club .

Pia niliwahi kushauri huyu Bwana mdogo ile Handle ya Simba SC Tanzania inayotumika Facebook, Instagram na Twitter ni Ndefu na Ya kishamba.

Nilishauri Handle ziwe Simba SC , ila Huyu bwana mdogo bado anatumia Simba SC Tanzania , Nenda timu zote duniani sijawahi kuona huu upuuzi eti ukute timu inajiita Liver FC England au Rea Madrid Spain .

Kitu ambacho naona sio sawa.
Naunga mkonyo hoja. Lile jamaa ni lipumbavu fulani hivi lisilojielewa.
 
Huyu Admin amekuwa anapost kwenye ile page ya Simba SC kama vile ni page ya familia yake. Anaweza kupost kwa siku zaidi ya mara tano na mara nyigi anapost mipasho na kejeli zisizo na maana ikizingatia ile page ya Simba na timu kubwa nchini. Ukienda timu za wenzetu huwezi kuona huu upuuzi.

Juzi Ibrahim Ajibu kapostiwa zaidi ya mara nne kwa maneno mengi mengi yasiyo na weledi. Ina maana hawaigi hata huko wenzetu mechi ikiisha inaposti Results na picha moja tosha!

Haya mambo mengine waachiwe mashabiki au fan pages zisizo official za club .

Pia niliwahi kushauri huyu Bwana mdogo ile Handle ya Simba SC Tanzania inayotumika Facebook, Instagram na Twitter ni Ndefu na Ya kishamba.

Nilishauri Handle ziwe Simba SC , ila Huyu bwana mdogo bado anatumia Simba SC Tanzania , Nenda timu zote duniani sijawahi kuona huu upuuzi eti ukute timu inajiita Liver FC England au Rea Madrid Spain .

Kitu ambacho naona sio sawa.
Kunywa maji kwanza
 
Kiukweli hata mimi naona haitendei haki brand kubwa like Simba kiukweli anaandika kwa style za watu wasiotambua kuwa taasisi inapaswa kuwa na lugha ya staha inayolenga kuzungumzia jambo la msingi
Ameifanya page ya simba kuwa kama ya shabiki binafsi tena shabiki maandazi
 
M
Huyu Admin amekuwa anapost kwenye ile page ya Simba SC kama vile ni page ya familia yake. Anaweza kupost kwa siku zaidi ya mara tano na mara nyigi anapost mipasho na kejeli zisizo na maana ikizingatia ile page ya Simba na timu kubwa nchini. Ukienda timu za wenzetu huwezi kuona huu upuuzi.

Juzi Ibrahim Ajibu kapostiwa zaidi ya mara nne kwa maneno mengi mengi yasiyo na weledi. Ina maana hawaigi hata huko wenzetu mechi ikiisha inaposti Results na picha moja tosha!

Haya mambo mengine waachiwe mashabiki au fan pages zisizo official za club .

Pia niliwahi kushauri huyu Bwana mdogo ile Handle ya Simba SC Tanzania inayotumika Facebook, Instagram na Twitter ni Ndefu na Ya kishamba.

Nilishauri Handle ziwe Simba SC , ila Huyu bwana mdogo bado anatumia Simba SC Tanzania , Nenda timu zote duniani sijawahi kuona huu upuuzi eti ukute timu inajiita Liver FC England au Rea Madrid Spain .

Kitu ambacho naona sio sawa.
Manchester Utd ilimpost Ronaldo mara nyingi hukuandika uzi hapa. Admn ni wa unyamani ww topolo unaumia nini.?
 
sis n Africa Tanzania tuna utamaduni wetu wew n mzee wa kuiga kila kitu kutoka nje ingekuwa matus apo Sawa Hiyo n social media we are socializing
 
Kwaio logic hapo ni kwamba lazima twende sawa na vilabu vya ulaya sio? But seems like uko na jealous mbn ruvushooting mbeya kwanza kmc ma admin wao ndio wanapost mambo ambayo ni ya utani sana ila sijaona ukiwa criticize
 
Back
Top Bottom