Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kama sikosei ni 2.7 Gpu
Naomba kuuliza eti Minimum Institutional Admission points zilizoandikwa TCU guide zinahesabiwaje???
Ndugu hebu fuata mfano huu hapa
OLD GRADING SYSTEM KWA WALIOMALIZA 1988 - 2013
A=5
B=4
C=3
D=2
E=1
NEW GRADING SYSTEM WALIOMALIZA 2014 - KUENDELEA (BRN)
A=5
B+=4
B=3
C=2
D=1
E=0.5
F=0
1. kama umefanya PCB mfano umemaliza 2013 kurudi nyuma umepata Phy- C , Chemistry - C , BIOS - C hapa una point 9 Jumlisha na GS au BAM ambayo ni 0.5 unapata 9.5 ambayo ni nzuri sana kwa kuingia MD na Pharmacy.
2. 1. kama umefanya PCB mfano umemaliza 2015 (BRN) umepata Phy- C , Chemistry - C , BIOS - C hapa una point 6 Jumlisha na GS au BAM ambayo ni 0.5 unapata 6.5 ambayo sio nzuri sana kwa kuingia MD na Pharmacy. hapa ukiomba hizo kozi una hati hati ya kukosa nafasi ya vyuo vya afya kama ushindani ukiwa mkubwa sana.
Someni GUidebook ya TCU kwa maelekezo zaidi.:A S-cry:
Ndugu hebu fuata mfano huu hapa
OLD GRADING SYSTEM KWA WALIOMALIZA 1988 - 2013
A=5
B=4
C=3
D=2
E=1
NEW GRADING SYSTEM WALIOMALIZA 2014 - KUENDELEA (BRN)
A=5
B+=4
B=3
C=2
D=1
E=0.5
F=0
1. kama umefanya PCB mfano umemaliza 2013 kurudi nyuma umepata Phy- C , Chemistry - C , BIOS - C hapa una point 9 Jumlisha na GS au BAM ambayo ni 0.5 unapata 9.5 ambayo ni nzuri sana kwa kuingia MD na Pharmacy.
2. 1. kama umefanya PCB mfano umemaliza 2015 (BRN) umepata Phy- C , Chemistry - C , BIOS - C hapa una point 6 Jumlisha na GS au BAM ambayo ni 0.5 unapata 6.5 ambayo sio nzuri sana kwa kuingia MD na Pharmacy. hapa ukiomba hizo kozi una hati hati ya kukosa nafasi ya vyuo vya afya kama ushindani ukiwa mkubwa sana.
Someni GUidebook ya TCU kwa maelekezo zaidi.:A S-cry:
Hujasoma vizuri mkuu inachukuliwa moja tu kati ya GS na BAM mojawapo ambayo ni 0.5 soma vizuri uelewe hizo 2pts hazipo. Acha kupotosha wadau
Nahisi hukunielewa vizuri mkuu nilichomaanisha hapo juu ni kwamba, 2pts ni min admission points za tcu kwa masomo ma 3 ambayo ni basic..... Bam na gs ni subsidiary subjects hivyo hazihesabiw kwenye kuangalia cut off points
Nahisi hukunielewa vizuri mkuu nilichomaanisha hapo juu ni kwamba, 2pts ni min admission points za tcu kwa masomo ma 3 ambayo ni basic..... Bam na gs ni subsidiary subjects hivyo hazihesabiw kwenye kuangalia cut off points
Ndugu hebu fuata mfano huu hapa
OLD GRADING SYSTEM KWA WALIOMALIZA 1988 - 2013
A=5
B=4
C=3
D=2
E=1
NEW GRADING SYSTEM WALIOMALIZA 2014 - KUENDELEA (BRN)
A=5
B+=4
B=3
C=2
D=1
E=0.5
F=0
1. kama umefanya PCB mfano umemaliza 2013 kurudi nyuma umepata Phy- C , Chemistry - C , BIOS - C hapa una point 9 Jumlisha na GS au BAM ambayo ni 0.5 unapata 9.5 ambayo ni nzuri sana kwa kuingia MD na Pharmacy.
2. 1. kama umefanya PCB mfano umemaliza 2015 (BRN) umepata Phy- C , Chemistry - C , BIOS - C hapa una point 6 Jumlisha na GS au BAM ambayo ni 0.5 unapata 6.5 ambayo sio nzuri sana kwa kuingia MD na Pharmacy. hapa ukiomba hizo kozi una hati hati ya kukosa nafasi ya vyuo vya afya kama ushindani ukiwa mkubwa sana.
Someni GUidebook ya TCU kwa maelekezo zaidi.:A S-cry:
Ndugu hebu fuata mfano huu hapa
OLD GRADING SYSTEM KWA WALIOMALIZA 1988 - 2013
A=5
B=4
C=3
D=2
E=1
NEW GRADING SYSTEM WALIOMALIZA 2014 - KUENDELEA (BRN)
A=5
B+=4
B=3
C=2
D=1
E=0.5
F=0
1. kama umefanya PCB mfano umemaliza 2013 kurudi nyuma umepata Phy- C , Chemistry - C , BIOS - C hapa una point 9 Jumlisha na GS au BAM ambayo ni 0.5 unapata 9.5 ambayo ni nzuri sana kwa kuingia MD na Pharmacy.
2. 1. kama umefanya PCB mfano umemaliza 2015 (BRN) umepata Phy- C , Chemistry - C , BIOS - C hapa una point 6 Jumlisha na GS au BAM ambayo ni 0.5 unapata 6.5 ambayo sio nzuri sana kwa kuingia MD na Pharmacy. hapa ukiomba hizo kozi una hati hati ya kukosa nafasi ya vyuo vya afya kama ushindani ukiwa mkubwa sana.
Someni GUidebook ya TCU kwa maelekezo zaidi.:A S-cry: