Roving Journalist
JF Roving Journalist
- Apr 18, 2017
- 3,984
- 13,760
Ado Shaibu ameyasema hayo leo Oktoba 13, 2024 wakati akizungumza na Waandishi wa Habari Makao Makuu ya ACT Wazalendo, Dar es salaam.
Amesema: "Bila uandikishaji wa haki, hakuna uchaguzi wa haki. Tumeona udanganyifu, upendeleo wa wazi kwa chama cha mapinduzi na kusuasua kwa TAMISEMI katika kuhakikisha hatua hii inapita kwa ufanisi."
Soma Pia: Ado Shaibu: Wasimamizi wa vituo vya uandikishaji wapiga kura kuwanyima mawakala kujua idadi ya waliojiandikisha ni bomu
Uchaguzi wa Serikali za Mitaa, Vijiji na Vitongoji utafanyika Novemba 27, 2024 na hivi sasa zoezi la uandikishaji linaendelea na litakamilika Oktoba 20, 2024.