Kama yapi bosi? Pengine wenzio hawafikiri vizuri, wape shule.Hivi hakuna mengine yenye kuwezekana kufanyika yakatiliwa juhudi zaidi hayo kuliko haya mawazo matupu ya kila siku ya kumtoa ccm madarakani?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kama yapi bosi? Pengine wenzio hawafikiri vizuri, wape shule.Hivi hakuna mengine yenye kuwezekana kufanyika yakatiliwa juhudi zaidi hayo kuliko haya mawazo matupu ya kila siku ya kumtoa ccm madarakani?
Ndio tatizo lenu watanzania mnafikiri negatively sana na mnadhani CCM ni mlima Kilimanjaro hakuna siku itaondoshwa. Nani alifikiri KANU, ZANU na vyama vikongwe Africa vingekuwa historia siku moja? ANC nayo ipo mbioni kuondoka.
Hamtoa ushirikiano wowote wa hali wala wa mali kazi kufikiri CCM itabaki milele. Mnashindwa hata kuona kwamba mbuyu hata uweje wakishindwa watu kuung’oa ipo siku utakufa na kuondoka wenyewe? CCM itaondoka tu hata kabla hamjafa ni suala la muda tu. Wako wapi akina Mobutu, Ghaddafi, na madikteta wengine Afrika na vyama vyao?
Ndugu,
Hivi unafahamu kuwa ccm hatutegemei kura ili kushinda uchaguzi?!
View: https://youtube.com/watch?v=H77NTG71YW0&si=3CZY4C8eLW_FkT9J
Ndugu,Vipi kupata wanachama walioiva kama wamasai yaani wakabila, wadini au wakanda?
Kuna hatari ya kuwa tunadhani CCM anaweza kupigwa chini kidijitali.
Kwa kifupi sana, yajayo yanafurahisha...Thubutuuuu
CCM mbeleeeee kwa mbeleeee
Wataparangana weeeee kuitoa hawawezi ng'o
Ndugu,
Hivi unafahamu kuwa ccm hatutegemei kura ili kushinda uchaguzi?!
View: https://youtube.com/watch?v=H77NTG71YW0&si=3CZY4C8eLW_FkT9J
Nchi ya Dar.Uko nchi gani ndugu yangu unayehamasisha machafuko?
Sanaaaaaaaa loKwa kifupi sana, yajayo yanafurahisha...
Jambo la kuungana vyama siyo la kuhimizana, kuomba; bali ni jambo linalo patikana ikionekana kila chama kimefanya jitihadi ya kweli katika malengo yanayo piganiwa.Katika kusisitiza azma hiyo Ado Shaibu amesema kuwa chama hicho kipo tayari kuungana, "ACT Wazalendo tupo teyari kufanya kazi na Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) na vyama vingine vya upinzani ambavyo ni makini katika agenda hizi za kupigania demokrasia ya Tanzania"
KWA HIYO CCM WAUNGANE KUING'OA CCM 🙄🙄🙄🙄🙄🙄Katibu Mkuu wa ACT Wazalendo Ado Shaibu ametoa rai kwa CHADEMA na vyama vingine makini vya upinzani nchini kuungana kupigania mazingira ya kidemokrasia ikiwemo Katiba mpya, Tume Huru ya Uchaguzi, mageuzi ya Jeshi la Polisi na uhuru wa vyama vya siasa kufanya shughuli zake, ambapo amesema kuwa kuwa chama hicho kipo tayari kushirikiana ili kuhakikisha CCM inaondoka madarakani
"Sisi tuna itikadi, falsafa na sera tofauti, tuna mikakati tofauti, sisi tunachuana katika kinyang'anyiro cha madaraka au sio, tukienda hapo sisi ni vyama tofauti lakini ukweli ni kwamba ni muhimu sana kwa vyama vya upinzani, vyama makini vya upinzani kama tunataka kuiondosha CCM, kama tunataka kuimaliza mapema CCM ni lazima sisi tushirikiane kwa pamoja kama vyama vya upinzani"
Katibu Mkuu huyo amefafanua maeneo ya kuanzia kwa vyama vya upinzani kuungana na kushirikian ambapo amesema, "ni lazima tushikamane kupigania Katiba mpya, Katiba mpya sio ajenda ya chama kimoja cha siasa ni lazima tushikamane, tushikamane tupiganie Tume Huru ya Uchaguzi, ni lazima tushikamane kupigania mageuzi katika uendeshaji wa Jeshi la Polisi na vyombo vya Ulinzi na Usalama, ni lazima tushikamane, ni lazima tushikane kupigania uhuru wa kisiasa za Tanzania"
Katika kusisitiza azma hiyo Ado Shaibu amesema kuwa chama hicho kipo tayari kuungana, "ACT Wazalendo tupo teyari kufanya kazi na Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) na vyama vingine vya upinzani ambavyo ni makini katika agenda hizi za kupigania demokrasia ya Tanzania"
Kauli hiyo ameitoa akihitimisha ziara ya kuyafikia majimbo 214 ya Tanzania Bara jimboni Muleba Kusini, mkoani Kagera Septemba 03.2024.
Jambo
Ulijitokeza kwenye maandamano Ilala? Au ulijikita zaidi kwenye keyboard?🤣🤣🤣Nchi ya Dar.
Nikutumie DM?Wewe unazijua sera za ccm?
Kila mtu anakaa Dar?Ulijitokeza kwenye maandamano Ilala? Au ulijikita zaidi kwenye keyboard?🤣🤣🤣
Huko uliko uliandamana Mkuu, kuwaunga wenzako wa Daresalama?Kila mtu anakaa Dar?
Chadema itaungana na Wananchi, haitaungana na Mamluki