Pre GE2025 Ado Shaibu: Hatutashiriki Vikao vya Baraza la Vyama vya Siasa

Pre GE2025 Ado Shaibu: Hatutashiriki Vikao vya Baraza la Vyama vya Siasa

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)
Laiti agenda ya No Reform No Election ingebebwa na vyama vyote vya upinzani kazi ingekuwa imekwisha lazima reform ingefanyika na Uchaguzi wetu ungeheshimka na wote, lakini kwa sasa hiki kinachoitwa uchaguzi ni mchezo wa kuigiza ambao unatumia mamia ya mabilioni ya fedha na kuzalisha viongozi haramu ambao hawatokani na matakwa wananchi
tatizo vyama mamluki vitashiriki
 
Safi sana, na hongwra sana ACT. Sasa tumeanza kuongea sauti moja. Tunasubiei kauli ya;

1. Chama cha wanasheria nchini

2. Viongozi wa dini

3. Asasi za kiraia

4. Jumuia za wafanyakazi

5. Watu mashuhuri kama Jaji Warioba, Prof. Shivji, Mzee Butiku, Mzee Pinda, Mzee Kikwete, CAG Mstaafu Musa Assard

NO REFORM NO ELECTION.
Kwenye maimamo huu, hakuna kurudi nyuma.
 
Safi sana, na hongwra sana ACT. Sasa tumeanza kuongea sauti moja. Tunasubiei kauli ya;

1. Chama cha wanasheria nchini

2. Viongozi wa dini

3. Asasi za kiraia

4. Jumuia za wafanyakazi

5. Watu mashuhuri kama Jaji Warioba, Prof. Shivji, Mzee Butiku, Mzee Pinda, Mzee Kikwete, CAG Mstaafu Musa Assard

NO REFORM NO ELECTION.
Kwenye maimamo huu, hakuna kurudi nyuma.
pamoja mkuu!

Lissu kaonyesha njia, tumuunge mkono, tumfuate, atatupeleka kwenye Tanzania ijayo yenye HAKI na USAWA
 
Back
Top Bottom