Pre GE2025 Ado Shaibu: Hatutashiriki Vikao vya Baraza la Vyama vya Siasa

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)
tatizo vyama mamluki vitashiriki
 
tatizo vyama mamluki vitashiriki
Hata dunia inajua kuwa vyama vya upinzani hapa Tanzania ni viwili, Chadema kwa Tanzania Bara na ACT Wazalendo kwa Zanzibar hivyo hawa wakishikamana katika hili CCM watakuwa wapole.
 
Safi sana, na hongwra sana ACT. Sasa tumeanza kuongea sauti moja. Tunasubiei kauli ya;

1. Chama cha wanasheria nchini

2. Viongozi wa dini

3. Asasi za kiraia

4. Jumuia za wafanyakazi

5. Watu mashuhuri kama Jaji Warioba, Prof. Shivji, Mzee Butiku, Mzee Pinda, Mzee Kikwete, CAG Mstaafu Musa Assard

NO REFORM NO ELECTION.
Kwenye maimamo huu, hakuna kurudi nyuma.
 
pamoja mkuu!

Lissu kaonyesha njia, tumuunge mkono, tumfuate, atatupeleka kwenye Tanzania ijayo yenye HAKI na USAWA
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…