Adui mkubwa wa Manara ni wakati

Mkuu umesema kitu kikubwa sana.
Wakati ndio adui wa Manara.
Nakumbuka DJ Fetty alikuwa ni mmoja wa watangazaji waliokuwa wanapednwa sana na vijana katika kipindi cha XXL akiwa kama mtangazaji mkali wa kike. Kipindi akaacha utangazaji alipokuja kurejea akakuta vijana wa kike washachukua nafasi akawa kama irrelevant. Luckily aliondolewa kwenye kipindi hicho akapewa kipindi kinachomstahili.
Haji kwa sasa usemaji awaachie vijana na zama za usemaji kuwa wa matusi inaelekea watu hawautaki tena sasa hivi vijana wakikutana wanapigana vijembe vyenye kuchekesha kiasi kwamba kila mtu anabaki anafurahi sio kama vya manara.
 
Ashura Cheupe atafute kazi nyingine sio lazima uwe msemaji, kama vipi aende Pamba Jiji aone kama ata trend bila Simba na Yanga
 
Kwani kuna jambo Manara kalifanya zaidi ya kuwa msemaji wa bidhaa gani sijui ile ya tiGO?
 
Haji Manara ni mtu mwenye nongwa! Na kufanya kazi na mtu mwenye nongwa, kunahitaji uwe na moyo wa uvumilivu sana. Binafsi naunga mkono uongozi wa Yanga kumuweka pembeni huyo mamluki.
Mmesahau mema aliyowatendea Haji mpaka mnatamani atoswe?
 
Yule jamaa ana shida wee mtu gani kila mtu kwako awe mbaya?

Mtu alishaoa na kuacha wanawake zaidi ya watano.
Kwa maelezo yake wananwonea gerè anakuwa maarufu mno. Ile ya kuambiwa ni mwanachama wà kawaida pale yanga naona imemwuma na anamwona Hersi mtu mbaya sana, mzuri kwake ni Gharib tu. Ila ipo siku na Gharib atamfahamu tu.
 
Sasa Manara kamzidi umri Hersi...
Anataka Hersi amuweke kama mfagizi aje amlaani? 😃😃akae tuu kwa kutulia kashazeeka...
 
Kila kitu kina wakati wake

Lazima mtu ukubaliane na hilo

Ova
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…