KWENYE PESA HAKUNA ADUI
JF-Expert Member
- Dec 16, 2014
- 225
- 349
HSM alilletwa na GSM,HERSI ni rais wa YANGA.
QN. ENGINEER yupo nyuma ya nani ktk hili la HSM?
QN. ENGINEER yupo nyuma ya nani ktk hili la HSM?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wewe umeutathmini wakati wako sheikh?😎Naunga mkono hoja, wakati ukuta, ukishindana nao, utaumia mwenyewe
P
Mkuu umesema kitu kikubwa sana.Haji Manara anaweza kudhani ana maadui wengi wanaomfanyia fitina, lakini ukweli ni kwamba adui wake mkuu kwa sasa ni wakati. Wakati unapobadilika dhidi yako, unaweza kushangazwa na mambo yanayotokea na kudhani watu wanakufanyia fitina.
Kwa upande wa Ally Kamwe, wakati unamfaa sana. Kila anachofanya kinakuwa rahisi na kukubalika kwake si jambo gumu. Ukweli ni kuwa, kwa kazi yoyote inayohitaji mitandao, kijana wa kizazi cha Z kama Ally anaweza kufanya kazi kwa urahisi zaidi kuliko watu wenye umri kama wa Manara, bila kujali uzoefu. Teknolojia inawapa nafasi vijana wanaoibukia pamoja na maendeleo ya teknolojia yenyewe.
Kama kazi ya usemaji ingekuwa bado inategemea zaidi redio na magazeti kama zamani, Manara angebaki kuwa bora. Lakini ukichanganya na matumizi ya mitandao ya kijamii, vijana kama Ally Kamwe ndio wanaoweza kustawi na kutamba zaidi. Inawezekana viongozi kama Hersi wanapata changamoto ya kujua nafasi sahihi ya kumweka Manara kwa sababu wakati umekuwa kikwazo kikubwa kwake. Zama zimeshabadili
ka.
Mmesahau mema aliyowatendea Haji mpaka mnatamani atoswe?Haji Manara ni mtu mwenye nongwa! Na kufanya kazi na mtu mwenye nongwa, kunahitaji uwe na moyo wa uvumilivu sana. Binafsi naunga mkono uongozi wa Yanga kumuweka pembeni huyo mamluki.
Kwa maelezo yake wananwonea gerè anakuwa maarufu mno. Ile ya kuambiwa ni mwanachama wà kawaida pale yanga naona imemwuma na anamwona Hersi mtu mbaya sana, mzuri kwake ni Gharib tu. Ila ipo siku na Gharib atamfahamu tu.Yule jamaa ana shida wee mtu gani kila mtu kwako awe mbaya?
Mtu alishaoa na kuacha wanawake zaidi ya watano.