Adui mkubwa wa Simba ni mganga wao, aliwaaminisha ameshamaliza kazi muongo mkubwa sana huyo sangoma! Nitamtaja!!!

Adui mkubwa wa Simba ni mganga wao, aliwaaminisha ameshamaliza kazi muongo mkubwa sana huyo sangoma! Nitamtaja!!!

Mganguzi

JF-Expert Member
Joined
Aug 3, 2022
Posts
1,604
Reaction score
3,715
Simba timu yangu msipoacha uchawi hakika mtazidi kupata aibu ! Tabia yenu ya kumtegemea huyo sangoma wa kike hapo klabuni niyakipumbavu sana ! Mbaya zaidi mnampa na pesa kabisa awasaidie kuloga mechi hayo mambo niyakipuuzi sana na hamtafanikiwa kamwe!! Aliwaaminisha wachezaji ameshamaliza kazi ,wachezaji wakaingia uwanjani na fikra za hovyo kabisa !! Wakijua mechi imechezwa usiku' mwisho tunaambulia aibu ,acheni uchawi na tunaambiwa hata kambini Kuna mambo ya kishirikina mliwalazimisha wafanye na tunajua Kuna waliokataa na mkawapiga bit!!! HaMta fanikiwa mkiendekeza uchawi badala ya kusajili wachezaji wa maana !! Muda sio mrefu nitakuja kumtaja hapa huyo sangoma aache uongo !!!
 
Wabongo mnaamini uchaqi sana hapo na yanaga endapo hzo goli mbili zkirudi na wakaongezwa napo mtasema hvhvo
 
img_2_1667389513507.jpg
Simba timu yangu msipoacha uchawi hakika mtazidi kupata aibu ! Tabia yenu ya kumtegemea huyo sangoma wa kike hapo klabuni niyakipumbavu sana ! Mbaya zaidi mnampa na pesa kabisa awasaidie kuloga mechi hayo mambo niyakipuuzi sana na hamtafanikiwa kamwe!! Aliwaaminisha wachezaji ameshamaliza kazi ,wachezaji wakaingia uwanjani na fikra za hovyo kabisa !! Wakijua mechi imechezwa usiku' mwisho tunaambulia aibu ,acheni uchawi na tunaambiwa hata kambini Kuna mambo ya kishirikina mliwalazimisha wafanye na tunajua Kuna waliokataa na mkawapiga bit!!! HaMta fanikiwa mkiendekeza uchawi badala ya kusajili wachezaji wa maana !! Muda sio mrefu nitakuja kumtaja hapa huyo sangoma aache uongo !!!
 
Alafu haya mambo Babla alikuwa ameyadhibiti sasa hivi tangu arudi huyu mswahili yameanza tena.
 
Kama mtu anataka mganga wa uhakika mganga wa Tanga aje pm ilaa aandae kunitumia 5000 Kwa akili ya connection.


Alisikika m Tanzania mmoja akisema Vibora vinagharama Quality is Expensive kama hutaki unataka cheap chukua ya kwenye nguzo utapeliwe.


Nikimtapeli mtu anireport nipigie life ban

Karibuni PM/DM
 
Kwa hiyo ndio kusema Minocycline na wenzake wameshindwa kazi?.

Na yule mtaalam wa Yanga si Begi lake lenye vifaa vyote vya kazi si lilikamatwa Airport kule Mali?.

Ukweli ni kwamba, Hizi imani za ulozi zinasaidia sana kuongeza ujasiri na hamasa kwa wachezaji kujituma uwanjani. Bora hziendelee kuwepo tu
 
Sio Simba tu hata timu kubwa za Ulaya zinatumia uchawi. Kuna mchezaji mashuhuri (jina kapuni) nguo yake ya ndani Ina bonge la hirizi.
 
Mambo ya "wanasema, nimeyasikia' nimeambiwa" mara nyingi ni uzushi tu hayana ukweli wowote.
Ila kwa kuwa tuna Uhuru wa kuongea na kuandika hakuna namna. Tutasoma ya uzushi/ uongo na ukweli pia
Binafisi timu ya simba sc. Inahitaji marekebisho kwa sasa, ila nikawaida club hata za ulaya huwa kwenye peak/kufanya vizuri, na pia kwenye anguko hakuna timu ilioko kwenye peak miaka yote, mfano al haly (misiri) na Man u (England).
 
Simba timu yangu msipoacha uchawi hakika mtazidi kupata aibu ! Tabia yenu ya kumtegemea huyo sangoma wa kike hapo klabuni niyakipumbavu sana ! Mbaya zaidi mnampa na pesa kabisa awasaidie kuloga mechi hayo mambo niyakipuuzi sana na hamtafanikiwa kamwe!! Aliwaaminisha wachezaji ameshamaliza kazi ,wachezaji wakaingia uwanjani na fikra za hovyo kabisa !! Wakijua mechi imechezwa usiku' mwisho tunaambulia aibu ,acheni uchawi na tunaambiwa hata kambini Kuna mambo ya kishirikina mliwalazimisha wafanye na tunajua Kuna waliokataa na mkawapiga bit!!! HaMta fanikiwa mkiendekeza uchawi badala ya kusajili wachezaji wa maana !! Muda sio mrefu nitakuja kumtaja hapa huyo sangoma aache uongo !!!
kama unamjua mtaje,kama unamjua mtaje
 
Back
Top Bottom