Adui yako unatakiwa umfanyie wema wa kumuombea asije kumfanyia ubaya mtu mwingine baada yako wewe.ADUI YANGU NAMWOMBEA AFE YEYE NA KIZAZI CHAKE CHOTE WALAHI!
Hapo mwisho umenichekesha
Kuna siku tutajeruhiana kwa maandishi humu jf.Nia yangu ilikuwa sivyo unavyozania, nina hamu haswa ya kukutana nawe usiku huu. Vipi? Naomba usicheke nijibu kwa utaratibu tu tena ule wa kimahaba tafadhali.
Unachekaaaaaaaaaa ![emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
Jamani jamani hakuna kitu kigumu kuvumilia kama njaa. Nimeamka saa hizi napika baada ya kushindwa kabisa kulala.
Mpaka tumbo nalisikia kama linataka kuuma sababu ya njaa.
Jumamosi nilishinda ndani siku nzima naugulia maumivu ya vidonda vya tumbo. Hii njaa ninayoisikia hapa ningefanikiwa kulala basi saa nane isingefika ningeamka natapika na kuumwa tumbo kisa tu naona uvivu kupika.
Adui yako muombee kingine sio njaa tafadhali