Adui Muombee Njaa

Adui Muombee Njaa

Mi najua kuomba hela ni dakika yoyote tuu
Na kunyimwa hela halikadhalika.

Hapa tunazungumzia katika kufahamiana na mtu anayekutaka kimapenzi kisha ukaanza kumletea dibaji,ndani ya muda mfupi kutangaza shida zako.

Sio jambo la uungwana kabisa hili.
 
Jamani jamani hakuna kitu kigumu kuvumilia kama njaa. Nimeamka saa hizi napika baada ya kushindwa kabisa kulala.
Mpaka tumbo nalisikia kama linataka kuuma sababu ya njaa.
Jumamosi nilishinda ndani siku nzima naugulia maumivu ya vidonda vya tumbo. Hii njaa ninayoisikia hapa ningefanikiwa kulala basi saa nane isingefika ningeamka natapika na kuumwa tumbo kisa tu naona uvivu kupika.
Adui yako muombee kingine sio njaa tafadhali
Mkuu
pole sana kwa maswahibu ya kuumwa tumbo. Mola akufanyie wepesi.
 
Na kunyimwa hela halikadhalika.

Hapa tunazungumzia katika kufahamiana na mtu anayekutaka kimapenzi kisha ukaanza kumletea dibaji,ndani ya muda mfupi kutangaza shida zako.

Sio jambo la uungwana kabisa hili.
Kumbe ivoo. Ukiona umetongoza Leo kesho ukaombwa hela toka nduki maana na anaekuomba hela lengo lake ni kukukimbiza
 
Kumbe ivoo. Ukiona umetongoza Leo kesho ukaombwa hela toka nduki maana na anaekuomba hela lengo lake ni kukukimbiza
Wengine huwa tunakimbizwa na mengine sio hela.

Hivi kwenye uzi huu tunachat mimi na wewe na peke yetu tu ?
 
Wengine huwa tunakimbizwa na mengine sio hela.

Hivi kwenye uzi huu tunachat mimi na wewe na peke yetu tu ?
Tuchat tu... Kama ukiombwa unatoa kesho yake usilalamike
 
Adui yako wala usimuombee njaa, we muombee agombane na MANGE KIMAMBI tu [emoji18]

We mwenyewe utamuonea huruma[emoji6]
 
Back
Top Bottom