Saint Ivuga
JF-Expert Member
- Aug 21, 2008
- 54,762
- 59,204
Ina juzi nilikapa offer ya kwenda kwa rest bbq kaka nikimbia.Ndiwoo ndiwoo.. ngoja Inna akuone
Haya ila usimwambie mtu😂Sasa na wewe mpaka uombwe? Unatuma tu bby hii laki nenda salon.
Ila ujue kuna malipo huko mbeleniNasubiria maana sijaenda salon siku nyingi
Bado kana mambo ya kijijiniKanakuogopa eti we fisi. Mi hujawahi kunipa hata offee ya kwenda kwa Shirima kula chips. Ama kweli
Umeongea japo la msingi sana.Wewe sikulipi nakupa..
Maganda wamepungua mjini bajeti zimekaza mpk mnaona mpike sasa tunakoelekea tutaelewana..!Jamani jamani hakuna kitu kigumu kuvumilia kama njaa. Nimeamka saa hizi napika baada ya kushindwa kabisa kulala.
Mpaka tumbo nalisikia kama linataka kuuma sababu ya njaa.
Jumamosi nilishinda ndani siku nzima naugulia maumivu ya vidonda vya tumbo. Hii njaa ninayoisikia hapa ningefanikiwa kulala basi saa nane isingefika ningeamka natapika na kuumwa tumbo kisa tu naona uvivu kupika.
Adui yako muombee kingine sio njaa tafadhali
uoga wangu uko wapi? ha ha hKama mimi navyokupenda sana sema uoga wako ndo siupendu
asa kwani kwa rest unadhani ningetumia bei gani? hata 40k isingezidi.Mimi offer yangu kwa shirima hata elfu 7 haifiki nashiba ndii..
Chips yai 2500
Mishkaki minne 2000
Maji ya kilimanjaro 1500
Utoe wewe uyooo???Ina juzi nilikapa offer ya kwenda kwa rest bbq kaka nikimbia.
Bora nikupe wewe
Si unajua muoga huyo kukutana na mtu...nmemwambia njoo apa rest fishy eti anaogopa ..wanaume wa dar bwanaKanakuogopa eti we fisi. Mi hujawahi kunipa hata offee ya kwenda kwa Shirima kula chips. Ama kweli
wee.. kama unabisha nita upload screen short kama Mange anavyofanyaga . hahaha. hujambo lakini nyonyoUtoe wewe uyooo???