Na kunyimwa hela halikadhalika.Mi najua kuomba hela ni dakika yoyote tuu
MkuuJamani jamani hakuna kitu kigumu kuvumilia kama njaa. Nimeamka saa hizi napika baada ya kushindwa kabisa kulala.
Mpaka tumbo nalisikia kama linataka kuuma sababu ya njaa.
Jumamosi nilishinda ndani siku nzima naugulia maumivu ya vidonda vya tumbo. Hii njaa ninayoisikia hapa ningefanikiwa kulala basi saa nane isingefika ningeamka natapika na kuumwa tumbo kisa tu naona uvivu kupika.
Adui yako muombee kingine sio njaa tafadhali
Na wewe huwa unaomba hela kama wale wengine ?Mi najua kuomba hela ni dakika yoyote tuu
Kumbe ivoo. Ukiona umetongoza Leo kesho ukaombwa hela toka nduki maana na anaekuomba hela lengo lake ni kukukimbizaNa kunyimwa hela halikadhalika.
Hapa tunazungumzia katika kufahamiana na mtu anayekutaka kimapenzi kisha ukaanza kumletea dibaji,ndani ya muda mfupi kutangaza shida zako.
Sio jambo la uungwana kabisa hili.
Wengine huwa tunakimbizwa na mengine sio hela.Kumbe ivoo. Ukiona umetongoza Leo kesho ukaombwa hela toka nduki maana na anaekuomba hela lengo lake ni kukukimbiza
Kwani hilo sio swali bibie ? Swali mpaka liwe swali lina sifa gani ?Uliza swali
Huwa najizuiaga sana kulalamika. Kulalamika ni tabia yenu nyinyi watoto wa kike.Tuchat tu... Kama ukiombwa unatoa kesho yake usilalamike
Ila kutoa kwa hiari huwa magoli kinoma noma ! Yaani unatoa sababu ni wajibu wako kutoa.Tuchat tu... Kama ukiombwa unatoa kesho yake usilalamike
Nitakutafuta private ni kufundishe ni ipi tofauti kati ya swali jibu.Umeongea jibu
Tena mzuri sana !Basi we mutu musuri
Huu uzi wako leo naushambulia ile ile !Umeongea jibu