Adui wa mwanamke ni mwanamke? Je, Mama Samia na Dkt Tulia watabariki kudhalilishwa kwa wanawake wenzao 19?

Adui wa mwanamke ni mwanamke? Je, Mama Samia na Dkt Tulia watabariki kudhalilishwa kwa wanawake wenzao 19?

escrow one

JF-Expert Member
Joined
Nov 29, 2014
Posts
1,473
Reaction score
2,868
Pamoja na vita kali ya Urusi na Ukraine lakini dunia nzima ipo kimya kushuhudia ni kwa namna gani wanawake wawili wenye nguvu zaidi hapa TZ watawalinda wenzao 19 waliodhalilishwa wiki hii mbele ya umati wa wajumbe zaidi ya 400.

Kama Ndugai na Mwendazake (wanaume) waliweza kuwalinda, nyie mnashindwaje kuwalinda wenzenu?
Halafu ifike 2025 muombe kura za ndio toka kwa wanawake hiiiiiiiiiiiii.
 
Kwa nini ccm isiwachukue Halima na wenzake? Wana majimbo mengi ya kuwapeleka....sintasahau Cesilia alivyosaliti umma wa Karatu
 
Pamoja na vita kali ya Urusi na Ukraine lakini dunia nzima ipo kimya kushuhudia ni kwa namna gani wanawake wawili wenye nguvu zaidi hapa TZ watawalinda wenzao 19 waliodhalilishwa wiki hii mbele ya umati wa wajumbe zaidi ya 400.

Kama Ndugai na Mwendazake (wanaume) waliweza kuwalinda, nyie mnashindwaje kuwalinda wenzenu?
Halafu ifike 2025 muombe kura za ndio toka kwa wanawake hiiiiiiiiiiiii.
Hivi wanalindwa watu ama katiba? Maana hao wote uliowataja wameapa kuilinda katiba ya jamhuri ya muungano wa Tanzania na sio watu kwa jinsia zao
 
Pamoja na vita kali ya Urusi na Ukraine lakini dunia nzima ipo kimya kushuhudia ni kwa namna gani wanawake wawili wenye nguvu zaidi hapa TZ watawalinda wenzao 19 waliodhalilishwa wiki hii mbele ya umati wa wajumbe zaidi ya 400.

Kama Ndugai na Mwendazake (wanaume) waliweza kuwalinda, nyie mnashindwaje kuwalinda wenzenu?
Halafu ifike 2025 muombe kura za ndio toka kwa wanawake hiiiiiiiiiiiii.
Watakuwa replaced na wanawake wenzao.
 
Pamoja na vita kali ya Urusi na Ukraine lakini dunia nzima ipo kimya kushuhudia ni kwa namna gani wanawake wawili wenye nguvu zaidi hapa TZ watawalinda wenzao 19 waliodhalilishwa wiki hii mbele ya umati wa wajumbe zaidi ya 400.

Kama Ndugai na Mwendazake (wanaume) waliweza kuwalinda, nyie mnashindwaje kuwalinda wenzenu?
Halafu ifike 2025 muombe kura za ndio toka kwa wanawake hiiiiiiiiiiiii.
Mpuuzi weye!
 
Nadhani itasaidia pia kujua wanawake ni watu wa aina gani.but halima na ester ni wasichana hawana sifa za uwanawake.
 
Pamoja na vita kali ya Urusi na Ukraine lakini dunia nzima ipo kimya kushuhudia ni kwa namna gani wanawake wawili wenye nguvu zaidi hapa TZ watawalinda wenzao 19 waliodhalilishwa wiki hii mbele ya umati wa wajumbe zaidi ya 400.

Kama Ndugai na Mwendazake (wanaume) waliweza kuwalinda, nyie mnashindwaje kuwalinda wenzenu?
Halafu ifike 2025 muombe kura za ndio toka kwa wanawake hiiiiiiiiiiiii.
Hawajadhalilishwa....ni maamuzi sahihi ya wenyewe..
 
Yaani wewe ndo mpumbavu kabisa, kwahiyo akiuke sheria ya nchi kwa matakwa ya mtu kisa jinsia? Mkiitwa wapuuzi mnalalamika.
 
TANZANIA SIHAMI.
FRDDzymX0AASLx1.jpeg
 
Kwa hiyo Sofia simba na Jesca Msambatavangu walikuwa wanaume, usitumie makalio kufikiri,
 
Pamoja na vita kali ya Urusi na Ukraine lakini dunia nzima ipo kimya kushuhudia ni kwa namna gani wanawake wawili wenye nguvu zaidi hapa TZ watawalinda wenzao 19 waliodhalilishwa wiki hii mbele ya umati wa wajumbe zaidi ya 400.

Kama Ndugai na Mwendazake (wanaume) waliweza kuwalinda, nyie mnashindwaje kuwalinda wenzenu?
Halafu ifike 2025 muombe kura za ndio toka kwa wanawake hiiiiiiiiiiiii.

Hili ni suala la kufuata na kulinda sheria hivyo Samia na Tulia watahakikisha hao mamluki wanaondoka na kuchukuliwa hatua za kisheria!
 
Usilete mambo ya sijui adui wa mwanamke ... !
Hapa ni suala la SPIKA na RAIS kusimamia katiba iliyopo! ... wakizingua tutajua kumbe tatizo halikuwa Jiwe bali mfumo mzima wa serikali na bunge la CCM!
... BAADA YA HAPO TUSILAUMIANE!
 
Dunia gani wakati ukienda hapo Zambia COVID 19 hawajulikani!
 
Back
Top Bottom