escrow one
JF-Expert Member
- Nov 29, 2014
- 1,473
- 2,868
Hivi wanalindwa watu ama katiba? Maana hao wote uliowataja wameapa kuilinda katiba ya jamhuri ya muungano wa Tanzania na sio watu kwa jinsia zaoPamoja na vita kali ya Urusi na Ukraine lakini dunia nzima ipo kimya kushuhudia ni kwa namna gani wanawake wawili wenye nguvu zaidi hapa TZ watawalinda wenzao 19 waliodhalilishwa wiki hii mbele ya umati wa wajumbe zaidi ya 400.
Kama Ndugai na Mwendazake (wanaume) waliweza kuwalinda, nyie mnashindwaje kuwalinda wenzenu?
Halafu ifike 2025 muombe kura za ndio toka kwa wanawake hiiiiiiiiiiiii.
Watakuwa replaced na wanawake wenzao.Pamoja na vita kali ya Urusi na Ukraine lakini dunia nzima ipo kimya kushuhudia ni kwa namna gani wanawake wawili wenye nguvu zaidi hapa TZ watawalinda wenzao 19 waliodhalilishwa wiki hii mbele ya umati wa wajumbe zaidi ya 400.
Kama Ndugai na Mwendazake (wanaume) waliweza kuwalinda, nyie mnashindwaje kuwalinda wenzenu?
Halafu ifike 2025 muombe kura za ndio toka kwa wanawake hiiiiiiiiiiiii.
Mpuuzi weye!Pamoja na vita kali ya Urusi na Ukraine lakini dunia nzima ipo kimya kushuhudia ni kwa namna gani wanawake wawili wenye nguvu zaidi hapa TZ watawalinda wenzao 19 waliodhalilishwa wiki hii mbele ya umati wa wajumbe zaidi ya 400.
Kama Ndugai na Mwendazake (wanaume) waliweza kuwalinda, nyie mnashindwaje kuwalinda wenzenu?
Halafu ifike 2025 muombe kura za ndio toka kwa wanawake hiiiiiiiiiiiii.
Hawajadhalilishwa....ni maamuzi sahihi ya wenyewe..Pamoja na vita kali ya Urusi na Ukraine lakini dunia nzima ipo kimya kushuhudia ni kwa namna gani wanawake wawili wenye nguvu zaidi hapa TZ watawalinda wenzao 19 waliodhalilishwa wiki hii mbele ya umati wa wajumbe zaidi ya 400.
Kama Ndugai na Mwendazake (wanaume) waliweza kuwalinda, nyie mnashindwaje kuwalinda wenzenu?
Halafu ifike 2025 muombe kura za ndio toka kwa wanawake hiiiiiiiiiiiii.
Bwashee tumpongeze Mdee ana kifua sana yule dada. Akitapika nyongo yaliyopelekea haya yote utafumba macho kwa aibu.Kwani watakaoingia badala yao ni wanaume?
Jibu zuri sanaHivi wanalindwa watu ama katiba? Maana hao wote uliowataja wameapa kuilinda katiba ya jamhuri ya muungano wa Tanzania na sio watu kwa jinsia zao
Pamoja na vita kali ya Urusi na Ukraine lakini dunia nzima ipo kimya kushuhudia ni kwa namna gani wanawake wawili wenye nguvu zaidi hapa TZ watawalinda wenzao 19 waliodhalilishwa wiki hii mbele ya umati wa wajumbe zaidi ya 400.
Kama Ndugai na Mwendazake (wanaume) waliweza kuwalinda, nyie mnashindwaje kuwalinda wenzenu?
Halafu ifike 2025 muombe kura za ndio toka kwa wanawake hiiiiiiiiiiiii.