Adui yako mwombee kupenda

Kuna adui yangu lakin hili simuombei ataringa sana hata kama hapendwi, mi namuombea azeeke bachela
 
Mi huyo adui yangu naona alifunga novena kabisa maana si kwa kuugulia kule!
 
Sabalnuru wapendwa,

Kuna usemi unasema adui yako usimwombee maradhi wala kifo, mwombee kupenda asipopendwa kwani mateso yake ni nusu ya jehanamu. Kuna wanaokubaliana na usemi huo?
Jaman nimecheka sana jf never stress
 
Kwa kweli mie sitamwombea baya wala zuri ila nimwone akibamizwa na Mungu[emoji4][emoji4]
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…