Adui yako ni mke au mume wako, siyo huyo unayemwambia akae mbali na mwenza wako

Adui yako ni mke au mume wako, siyo huyo unayemwambia akae mbali na mwenza wako

Xi Jinping

JF-Expert Member
Joined
Jun 14, 2023
Posts
3,651
Reaction score
11,548
Mjinga mkubwa wewe, tatizo sio huyo mwanaume unayemwambia:

"Kaa mbali na mke/mpenzi/mwanamke wangu."

Tatizo ni mke, mpenzi au girlfriend wako amempa nafasi mwamba ya kuongea, kuwasiliana au kutaniana naye na kutongozwa na kuna uwezekano tayari kashampiga miti.

Shtuka adui yako ni mke au mwanamke wako.
Soma pia:
Adui yako si Mwanamke. Adui yako huyu hapa
 
Mjinga mkubwa wewe, tatizo sio huyo mwanaume unayemwambia:

"Kaa mbali na mke/mpenzi/mwanamke wangu."

Tatizo ni mke, mpenzi au girlfriend wako amempa nafasi mwamba ya kuongea, kuwasiliana au kutaniana naye na kutongozwa na kuna uwezekano tayari kashampiga miti.

Shtuka adui yako ni mke au mwanamke wako.
The truth
 
Polen wenye wake mlioamua kuoana Kwa ajili ya kupata furaha na kujenga familia ,Cha ajabu mmejengeana chuki na masimango...
 
I presume mtoto wako wa miaka 15 akitembea na boda boda, wakatoroshana kapewa mimba huko, utadeal na mtoto wako aliyekubali kwenda mshkaji utaachane naye!
Vijana mnapenda kujikuta wajuaji, mnajionaga mnauzoefu na maisha. Life halikaliliwi kama notes mdogo angu kuna watu hawana heshima na wake za watu.
 
Ukweli mchungu

20240803_210040.jpg


Learn or perish
 
I presume mtoto wako wa miaka 15 akitembea na boda boda, wakatoroshana kapewa mimba huko, utadeal na mtoto wako aliyekubali kwenda mshkaji utaachane naye!
Vijana mnapenda kujikuta wajuaji, mnajionaga mnauzoefu na maisha. Life halikaliliwi kama notes mdogo angu kuna watu hawana heshima na wake za watu.
Kuna mahali tumezungumzia binti wa miaka 15?
 
Umesoma vizuri nilichoreply mkuu?
Wewe pia umesoma vizuri nilichoandika??
Post yako inadai asifatwe mwanaume anayemchezea mkeo bali udeal na mke wako, based on your judgement kitokea mtoto wako of 15 yo kajipeleka mwenyewe kwa boda wakatoroshana wakapeana mimba huko utadeal na mtoto wako sio boda? Isn't this your logic?
 
I presume mtoto wako wa miaka 15 akitembea na boda boda, wakatoroshana kapewa mimba huko, utadeal na mtoto wako aliyekubali kwenda mshkaji utaachane naye!
Vijana mnapenda kujikuta wajuaji, mnajionaga mnauzoefu na maisha. Life halikaliliwi kama notes mdogo angu kuna watu hawana heshima na wake za watu.
Mkeo ni under 18?
 
Wewe pia umesoma vizuri nilichoandika??
Post yako inadai asifatwe mwanaume anayemchezea mkeo bali udeal na mke wako, based on your judgement kitokea mtoto wako of 15 yo kajipeleka mwenyewe kwa boda wakatoroshana wakapeana mimba huko utadeal na mtoto wako sio boda? Isn't this your logic?
Kinachozungumziwa ni mtu mzima aliye kwenye mahusiano mbona hilo liko wazi mkuu, hatuzungumzii under 18
 
Mimi napita sana mitaani, masokoni, vijana wengi hawana heshima na wanawake, humu humu kuna mtu alishaweka uzi anataka apewe ushauri jinsi ya kutongoza mke wa mtu, kuna watu wakiona wake za watu wanapita watajipigisha kelele, huyu atataka amshike mabega, huyu atataka amshike mkono, huyu atataka kumvuta. Hata ilivyokuwa kwa wewe mwanaume pia, umeoa lakini binti mwingine kajilengesha mwenyewe lazima utakanyaga.
 
Kinachozungumziwa ni mtu mzima aliye kwenye mahusiano mbona hilo liko wazi mkuu, hatuzungumzii under 18
Kwani miaka 15 sio mtu mzima? Hakuna watoto 15years na wanaweza kufanya maamuzi sahihi? Either way tuweke hiyo 18 unayotaka.
Kama anasoma kwa makadirio atakuwa kidato cha nne, ikitokea katoroshwa, akapewa mimba bado wewe judgement yako utadeal na mwanao na hutakiwi kumgusa mshkaji
 
Mimi napita sana mitaani, masokoni, vijana wengi hawana heshima na wanawake, humu humu kuna mtu alishaweka uzi anataka apewe ushauri jinsi ya kutongoza mke wa mtu, kuna watu wakiona wake za watu wanapita watajipigisha kelele, huyu atataka amshike mabega, huyu atataka amshike mkono, huyu atataka kumvuta. Hata ilivyokuwa kwa wewe mwanaume pia, umeoa lakini binti mwingine kajilengesha mwenyewe lazima utakanyaga.
Unafikiri nini kinachangia mwanamke mpaka anafikia hatua ya kushikwa?

Unafikiri ni kila mwanamke basi mwanaume ana ubavu wa kuanza kumchezea na kumshikashika?

Inategemea na jinsi mwanamke mwenyewe anavyojiweka na tabia zake
 
Kwani miaka 15 sio mtu mzima? Hakuna watoto 15years na wanaweza kufanya maamuzi sahihi? Either way tuweke hiyo 18 unayotaka.
Kama anasoma kwa makadirio atakuwa kidato cha nne, ikitokea katoroshwa, akapewa mimba bado wewe judgement yako utadeal na mwanao na hutakiwi kumgusa mshkaji
Unacomplicate sana mambo ila kinachozungumziwa kinaeleweka
 
Back
Top Bottom