Adui yako ni mke au mume wako, siyo huyo unayemwambia akae mbali na mwenza wako

Adui yako ni mke au mume wako, siyo huyo unayemwambia akae mbali na mwenza wako

Unafikiri ni kwa nini mwanamke mpaka anafikia hatua ya kushikwa?

Unafikiri ni kila mwanamke basi mwanaume ana ubavu wa kuanza kumchezea na kumshikashika?
Hizo unazoongea sasa ndo stori zako za kukariri.
Ukisema hivyo mimi pia ntasema wewe mume ndo mwenye matatizo, mgonge vizuri mkeo, mtimizie mkeo haja zake, play part yako vizuri kama mwanaume, mpendezeshe apendeze. Hata hao mafala wanaochezea wake za watu watashindwa kumsogelea mkeo
Ukikaa kizembe watakumegea alafu uje kupiga kelele hapa mke! mke! mke!. Watu dhaifu ndo hukimbilia kulaumu wake zao, You always find the weaks to blame! Stupids
Mwanaume lazima uwe simba ili wapuuzi wasicheze na mkeo,
 
Mkeo ni under 18?
You are weaks and cowards! Kitu gani kinakuaminisha mtu akiwa above 18 ndo anaweza kufanya maamuzi???
Mungu aliumba mwanaume akawe kiongozi kwa mwanamke, alimaanisha nini unafikiri ??? Linda mkeo usigongewe sio kukaa kuanza kulaumu laumu mwanamke, mnakuwa wote hamna tofauti
 
You are weaks and cowards! Kitu gani kinakuaminisha mtu akiwa above 18 ndo anaweza kufanya maamuzi???
Mungu aliumba mwanaume akawe kiongozi kwa mwanamke, alimaanisha nini unafikiri ??? Linda mkeo usigongewe sio kukaa kuanza kulaumu laumu mwanamke, mnakuwa wote hamna tofauti
Tatizo lipo kwa mkeo anayegongwagongwa nje, deal naye.
 
Mods mna kimbelembele sana. Mmebadilisha heading, sikukurupuka kuandika vile

Sasa ona kilichoandikwa kwenye uzi ni tofauti na heading mliyoandika

Hebu someni uzi na heading mliyoweka kama vinaendana

Umesikia Active YinYang Moderator kama vipi ufuteni tu huu uzi isiwe taabu



 
Back
Top Bottom