Rohombaya
JF-Expert Member
- Jul 4, 2011
- 13,067
- 10,393
Dah... Vipi ikiwa na sm 15 hiyo hiyo...huoni Kama uzito unaoning'inia utakuwa haubadiliki? ...Dah [emoji41]Urefu wa meza irrelevant [emoji34]
Sent using Beretta ARX 160
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Dah... Vipi ikiwa na sm 15 hiyo hiyo...huoni Kama uzito unaoning'inia utakuwa haubadiliki? ...Dah [emoji41]Urefu wa meza irrelevant [emoji34]
Ilikuwaje ukapata D sasa maana kiphyz D sio ya sportAdvanced Physics haitakag mbwembwe! Nilipiga D yangu safi ya kuingilia chuo
Ila sitakuja sahau physics paper 3 necta 2013 ilichonifanya, nilivaa surual nyeus ila lile bao nililopiga wakat pressure imepanda bado lilionekana" that was my best ejaculation ever" mnaambiwa mnaama lab huku bado huna data hata moja
Unforgettable moment.
Sent using Jamii Forums mobile app
Ilikuwaje ukapata D sasa maana kiphyz D sio ya sportAdvanced Physics haitakag mbwembwe! Nilipiga D yangu safi ya kuingilia chuo
Ila sitakuja sahau physics paper 3 necta 2013 ilichonifanya, nilivaa surual nyeus ila lile bao nililopiga wakat pressure imepanda bado lilionekana" that was my best ejaculation ever" mnaambiwa mnaama lab huku bado huna data hata moja
Unforgettable moment.
Sent using Jamii Forums mobile app
Ilikuwaje ukapata D sasa maana kiphyz D sio ya sportAdvanced Physics haitakag mbwembwe! Nilipiga D yangu safi ya kuingilia chuo
Ila sitakuja sahau physics paper 3 necta 2013 ilichonifanya, nilivaa surual nyeus ila lile bao nililopiga wakat pressure imepanda bado lilionekana" that was my best ejaculation ever" mnaambiwa mnaama lab huku bado huna data hata moja
Unforgettable moment.
Sent using Jamii Forums mobile app
Unaambiwa mtangulize mungu kwa kila jambo, utaona miujiza wakeIlikuwaje ukapata D sasa maana kiphyz D sio ya sport
Hahahahaaaaaaa,kuna jamaaa moja aliitwa docta hapo mwenge alikusanya pesa zangu balaaa,topic moja 15000 nakumbuka alinimezsha #mechanic but sikuvua dafu,khaaaa mtoto wangu asomi phycs advance kabsa,nawaachia laana wakikaidiNakuona Pondi Boy[emoji3][emoji3][emoji3]
[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]Hahahahaaaaaaa,kuna jamaaa moja aliitwa docta hapo mwenge alikusanya pesa zangu balaaa,topic moja 15000 nakumbuka alinimezsha #mechanic but sikuvua dafu,khaaaa mtoto wangu asomi phycs advance kabsa,nawaachia laana wakikaidi
Mkuu mimi nimesoma comment zote za huu uzi ndo mana nikaufufua.[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]
Phys ni habari nyingine aisee.
Ila ukiipatia ujanja wa kuisoma unafaulu vizuri tu, lakini ilikuwa inaabisha watu hatari[emoji3][emoji3][emoji3]
Ila waliosoma physics wengi akili kubwa mkuu.Hahahahaaaaaaa,kuna jamaaa moja aliitwa docta hapo mwenge alikusanya pesa zangu balaaa,topic moja 15000 nakumbuka alinimezsha #mechanic but sikuvua dafu,khaaaa mtoto wangu asomi phycs advance kabsa,nawaachia laana wakikaidi
daaah mimi mwakajana tu necta olevel physics ilinigeuka
ila sijafeli bro nna c ya physics bt ckutegemea kupata c maana n MOJA ya somo nililokua naliweza sana class nadhan nikajiamin kuptlizaPole sana dogo.
Safi sana kijana.ila sijafeli bro nna c ya physics bt ckutegemea kupata c maana n MOJA ya somo nililokua naliweza sana class nadhan nikajiamin kuptliza
hukua na malengo nayo au???Safi sana kijana.
Mimi enzi zangu wakati nasoma nilikuwa naipenda physics ila kufika form four sikujisajili kama ntafanya.nikawa naisoma just for leisure nikawa nainjoy.ila mtihani nikawa naogopa kufanya na mpaka NECTA sikufanya
Ulikuwa na muda wa kupotezaa[emoji23][emoji23][emoji119][emoji119]Safi sana kijana.
Mimi enzi zangu wakati nasoma nilikuwa naipenda physics ila kufika form four sikujisajili kama ntafanya.nikawa naisoma just for leisure nikawa nainjoy.ila mtihani nikawa naogopa kufanya na mpaka NECTA sikufanya
Nilikuwa mzembe sana skuli.hukua na malengo nayo au???
Just for leisureUlikuwa na muda wa kupotezaa[emoji23][emoji23][emoji119][emoji119]
Physics for leisure??? alafu ukasoma biashara au masomo gani???Just for leisure
Kuifaulu Phys inahitaji uthubutu na kujituma kwa mtu binafsi, hamna strategies maalumu za kufuata ili uweze kuifaulu ambapo tukisema kila mtu anayesoma Phys aziapply ndio atafaulu, never.Mkuu mimi nimesoma comment zote za huu uzi ndo mana nikaufufua.
Nilikuwa napatafuta hapo penye ujanja hapo.nashkuru nimepaona.
Sasa mkuu ebu mwaga maujanja hayo ili niyachukue niyafanye silabasi yangu.
Au PM mkuu?
Sent using Jamii Forums mobile app