Advance Physics ilivyokuwa inatugeuka ndani ya chumba cha mtihani

Advance Physics ilivyokuwa inatugeuka ndani ya chumba cha mtihani

Ujinga wa physics unaweza ukafny bidii kusoma,basi unakua upo nondo saan kam wiki ivi.unasema yes ngoja nivute na somo lingine lisogee kidgo,ukija kurud kwenye physics unakuta upo mtupu tena

Sent using Jamii Forums mobile app
[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]

Phyz ya hovyo sana, iliwahi nipigisha bao kwenye pepa
 
Hahaha Daaah physics ni balaa Kuna T.O mmoja hivi alimaliza 2006 alikuja Kutufundisha sisi tukiwa form 6 tukajiona Vilaza Wote.. vitabu vya Chand...Roger. vyote tuliona Tumemaliza na Hakuna Swali Gumu.. Jamaa Halafu alikuwa ana dharau balaa na Chuo alifukuzwa Kisa Dharau kwa Maprofesa kwahiyo akabak anapiga Tuition mtaani tu na Sifa Kibao na Kuwaona Watanzania wote hawana Akili ila Yeye peke yake

Ila Nakumbuka Siku ya Mtihani wa Physics Nilipiga msuli Usiku halafu kesho yake Pepa Asubuhi Na Nikasolve Maswali Kama matatu hivi ya Chand kwenye Pepa Yamekuja Vile vile Nikasema Nashukuru Mungu Ndalichako kaniona

Ila Yote tisa nitarudi Shule Zote ila Siyo Advance
Tosamanganga member bila shaka

Sent using Jamii Forums mobile app
 
halafu maswali ya physics huwaga yanaanza kama hadithi fulani hivi,yaani msenge mtungaji anakuvuta weeeeee anakuvuta weeeeee unakuujaaaa unakuja aaaaunaingia kwenye line zake then hapo hapo anakutupia jiwe paaaaaahhh la uso...yaani utakuta anaaza...

two stones thrown simutlaneously at a velocity of 20m/s at an angle of 60• to the horizontal,a man with a gun stand at 26m from the point of throwing,if the man has a mass of 80kg,calculate mass of the sun approximate to 6 decimal places..

ku**make hapa lazima ujambe,unaanza kujiuliza asa hapa ni topic gani,mtunzi kachanganga

projectile
calculating device
linear motion
planetary motion/gravity
error and dimension

unabaki tu kukumbuka maisha yako,marafiki zako,ndugu na jamaa,unakumbuka ulivokuwa unafaulu shule yako ya kata...unajikaza kiume mzee,unaandika data collection,unazugazuga pale na viformula basi unapoteza muda....unakusanya zako karatasi basi,unawaza hivi nimemkosea nini mungu mimi....kinyooonge unatoka class,sema ukikutana na wauni mnacheeeeeeeeekaaaaaaaaa basi unasahau na maisha ya shule yanaendelea.

nitarudi shule zote ila siyo advance ya tanzania *****....[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Dah...mbona Hilo swali ni uji tu....shida iko wapi?[emoji41]

Sent using Jamii Forums mobile app
 
[emoji2][emoji2] kuna washikaji flani wawili ilikuwa kila pepa ya phyz msimamizi akishaanza kunadi muda tu wanajipiga mabao. Dah

Sent using Jamii Forums mobile app
[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]

Walimu wa hivyo ni wakuda sana, anaweza kuimba muda hadi dakika ya mwisho kabisa.

Utasikia imebaki saa 1, nusu saa, dakika 20, dakika 5..... Yaani hapo unashikwa na kiwewe mwishowe unatingisha nyavu
 
Aisee tunatofautiana mm advance( PCB )nilikuwa napumzikia kwenye Physics na Biology ,Chemistry na BAM ndio ilikuwa issue sikumbuki km niliwahi kupata juu ya F kwenye mathematics o level na A level
Chemistry aiseee. Chemistry ilikua na unafuu sana kwangu. Sijui kwanini Final sikupata A

Sent using Jamii Forums mobile app

Sent using Jamii Forums mobile app
 
R. I. P. Mzee Kazibure a.k.a Babu. Alitusaidia sana kwenye A. Physics pale Kibaha High School, tulikuwa tunamfuata hadi Dar akiwa anapiga tuition shule nyingine.

R. I. P. Mzee Hela, A. Chemistry naye alitokoa sana.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom