Advanced Diploma in Dermatovenereology (ADDV)

Advanced Diploma in Dermatovenereology (ADDV)

Ndio imekataliwa, toka mwaka 2011 majadiliano yalipo anza hakuna kitu kimetokea, st joseph walianza mwaka fulani kutoa hii kozi wakazuiwa, Muundo wa utumishi wa MOH hauitambui, waanza kuitambua rasmi sio kuitambua kama AMO ambayo wanaiua taratibu

Na kwenye board mnasajiliwa kama MD au AMO
Mbona nimeeleza mkuu!

TCU wanakutambua kama MD kwa sababu ile curriculum Ina vitu vyote anavyosoma MD lakini MCT /MAT wanatutambua kama AMO na wanasababu zao !Lakini tuna mwenyenzetu wamekataa kumtambua kama AMO Wala MD na badala yake anaitwa Clinical officer mwenye degree mpka atakapo fanya Interniship
 
Mbona nimeeleza mkuu!

TCU wanakutambua kama MD kwa sababu ile curriculum Ina vitu vyote anavyosoma MD lakini MCT /MAT wanatutambua kama AMO na wanasababu zao !Lakini tuna mwenyenzetu wamekataa kumtambua kama AMO Wala MD na badala yake anaitwa Clinical officer mwenye degree mpka atakapo fanya Interniship

Nimeelewa mkuu..![emoji120][emoji120]
 
Naomba kuuliza ada minimum kwa chuo chochote hio degree chief yan approximation tuu ili nijue [emoji120][emoji120]
 
nauliza swali kwa mfano umesoma clinical officer baada ya hapo ukasoma Advance diploma ya dermatology ,,,je unaweza kuombea degree kupitia cheti cha Advance diploma ya dermatology???
 
Mbona nimeeleza mkuu!

TCU wanakutambua kama MD kwa sababu ile curriculum Ina vitu vyote anavyosoma MD lakini MCT /MAT wanatutambua kama AMO na wanasababu zao !Lakini tuna mwenyenzetu wamekataa kumtambua kama AMO Wala MD na badala yake anaitwa Clinical officer mwenye degree mpka atakapo fanya Interniship

nauliza swali kwa mfano umesoma clinical officer baada ya hapo ukasoma Advance diploma ya dermatology ,,,je unaweza kuombea degree kupitia cheti cha Advance diploma ya dermatology???
CLINICAL OFFICER HANA VIGEZO VYA KUSOMA ADVANCED DIPLOMA IN DEMATOLOGY MKUU.REJEA POST ZA JUU
 
CLINICAL OFFICER HANA VIGEZO VYA KUSOMA ADVANCED DIPLOMA IN DEMATOLOGY MKUU.REJEA POST ZA JUU
ok sawa if kma umesoma Advanc in dermatology unauwezo wa kuombea degree kwa advanc i dermatology
 
CLINICAL OFFICER HANA VIGEZO VYA KUSOMA ADVANCED DIPLOMA IN DEMATOLOGY MKUU.REJEA POST ZA JUU
Ok sawa ikiwa kasoma advance diploma in dermatology anaweza kuombea degree kupitia cheti chake cha dermatology
 
Mbona watu ni wagumu kuelewa!Nimekwambia Tanzania tayari tunao wahitimu wa kozi hii BSc CLINICAL medicine and surgery Including me na tunatambulika kama AMO lakini TCU wanatutambua kama MD .Ni Kweli Tanzania hatuna chuo kinatoa kozi hii lakini wapo waliosoma kozi nje ya nchi na wanapiga kazi
Wewe umeisomea tz au nje? Tz ilianzishwa na st joseph na ikafutwa, kwa hutambuliki na moh, wala bodi yako haina maana tcu wakikutambua haina maana sababu tunasoma kozi upate leseni flani ya kufanya kazi kisha upige mpunga
 
Wewe umeisomea tz au nje? Tz ilianzishwa na st joseph na ikafutwa, kwa hutambuliki na moh, wala bodi yako haina maana tcu wakikutambua haina maana sababu tunasoma kozi upate leseni flani ya kufanya kazi kisha upige mpunga
Bachelor of clinical medicine and surgery haikuwauhi kuanzishwa na chuo chochote hapa Tanzania,St.Joseph na KIUT walikuwa na mpango tu , Wahitimu wote wa hii kozi tumesomea nje(KENYA ,UGANDA,MALAWI NA RWANDA)
 
Vipi ada ya hiyo advanced diploma in dermatoveneology
 
Bachelor of clinical medicine and surgery haikuwauhi kuanzishwa na chuo chochote hapa Tanzania,St.Joseph na KIUT walikuwa na mpango tu , Wahitimu wote wa hii kozi tumesomea nje(KENYA ,UGANDA,MALAWI NA RWANDA)
Vyuo gani malawi, rwanda, kenya na ug vinatoa hii koz?
 
Vyuo gani malawi, rwanda, kenya na ug vinatoa hii koz?
In Kenya
1.Great Lakes university of KISUMU
2.Kisii University
3.Uzima university
4.Kabarak University
5.Mount Kenya University
6.Jomo Kenyatta university
UGANDA
1.Kampala International University
RWANDA-Rwanda National University
 
In Kenya
1.Great Lakes university of KISUMU
2.Kisii University
3.Uzima university
4.Kabarak University
5.Mount Kenya University
6.Jomo Kenyatta university
UGANDA
1.Kampala International University
RWANDA-Rwanda National University

Gpa ya ngap kutokea CO ukitaka kwenda kusoma hio kozi...[emoji120][emoji120]
 
In Kenya
1.Great Lakes university of KISUMU
2.Kisii University
3.Uzima university
4.Kabarak University
5.Mount Kenya University
6.Jomo Kenyatta university
UGANDA
1.Kampala International University
RWANDA-Rwanda National University
Kipi ni cheap hapo mzee kwa uzoefu wako
 
Kipi ni cheap hapo mzee kwa uzoefu wako
KISII UNIVERSITY ,UKIACHA UNAFUU KIKO KARIBU NA TANZANIA IKITOKEA SHIDA YOYOTE NYUMBANI UNAENDA HARAKA,KUTOKA TARIME -MARA KUFIKA CHUONI NI MASAA MAWILI TU.

KUTOKA MWANZA MPAKA CHUONI (KISII NI MASAA SABA)
Kutokana na ubora wake admission Ina sumbua maana ni chuo Cha serikali.(Watanzania wapo )

2.GREAT LAKES UNIVERSITY KIKO JIJINI KISUMU ni rahisi sana kupata admission ukitama maombi siku hiyo hiyo wanakutumia admission letter (Hawana tatizo lolote kwenye admission)Ni chuo Cha private kwa mwaka wanasemester tatu (Trimesters) Kila semester unalipa Tsh 1.8M
 
Mtanzania wa kwanza Kumaliza hii kozi ya Bachelor in clinical medicine and Surgery anaitwa SIMEO SYLVESTER ANGELO alimalizia Mount Kenya University

2.Dr.Walter -alimalizia Great Lakes University ,namba yake 0743887241 Huyu yuko Arusha

Ambao bado wanasoma wanaweza kusaidia ni

1.Ivine-0718818516-GREAT LAKES UNIVERSITY OF KISUMU
2.ABEL GEOFFREY-0768074172 (Uzima university)
 
Ukihitahi KAMPALA INTERNATIONAL UNIVERSITY unaweza kwenda campus ya Dsm kufanya application watakuunganisha na main campus ya Uganda wenyewe
 
Back
Top Bottom