Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nadhani hii Adv.Dipl iko katika nchi yetu tu! Nasikia nje ya nchi Advanced Diploma haitambuliki.Hiyo advanced diploma ni equivalent na bachelor degree. Ila siku hizi hakuna advanced diploma ni kama imefutwa kwa baadhi ya nchi/vyuo badala yake ni bachelor degree inayotumika kwasasa.
Wengine watanirekebisha kama kuna mahali nimeenda wrong.
Pole, umekosea; Advanced Diploma ni sawa kbs na Bachelor Degree hivyo zote ktk mfumo wa NTA ni sawa na NTA 8 na wote, mwenye Bachelor Degree au mwenye Advanced Diploma wanaenda Masters vizuri KBS bila shida. Hiyo NTA 7 ni Higher Diploma, which is below Advanced Diploma/Bachelor DegreeHazipo sawa Advanced diploma ni NTA level 7 Bachelor degree ni NTA level 8
Pia mtu aliyesoma degree akimaliza anaweza kwenda Masters wakati aliyesoma Advanced diploma ili apate Masters inabidi achukue post graduate diploma.
NOTE: Hii ni case ni tofauti na wale waliosoma Bachelor's degree nyingine kisha wanasoma postgraduate diploma ili wahame fani katika Masters zao
Hata maana ya higher diploma hujui, nakutumia screenshot na kifungu cha sheria, usiwe mvivu wa kujifunzaPole, umekosea; Advanced Diploma ni sawa kbs na Bachelor Degree hivyo zote ktk mfumo wa NTA ni sawa na NTA 8 na wote, mwenye Bachelor Degree au mwenye Advanced Diploma wanaenda Masters vizuri KBS bila shida. Hiyo NTA 7 ni Higher Diploma, which is below Advanced Diploma/Bachelor Degree
Huwaga sipendi mtu mbishi,Pole, umekosea; Advanced Diploma ni sawa kbs na Bachelor Degree hivyo zote ktk mfumo wa NTA ni sawa na NTA 8 na wote, mwenye Bachelor Degree au mwenye Advanced Diploma wanaenda Masters vizuri KBS bila shida. Hiyo NTA 7 ni Higher Diploma, which is below Advanced Diploma/Bachelor Degree
Ahsante sana.Hata maana ya higher diploma hujui, nakutumia screenshot na kifungu cha sheria, usiwe mvivu wa kujifunza
View attachment 2106143
Huwaga sipendi MTU
Huwaga sipendi mtu mbishi,
Mtu aliyesoma Advanced diploma INA mbidi a some postgraduate diploma ili achukue Masters, ndo maana nikaweka angalizo wale wanaochukua postgraduate diploma baada ya degree ni wale wanaotaka kubadili fani ambayo haiendani na bachelor degree zao
Japo upo nje ya mada according to heading ila Weka evidence, cause nimepitia page yao sijaona kitu kama hikoKiongozi mtu mwenye Advanced Diploma anaweza kuenda masters direct kama ana GPA 3.5 mfano wa chuo ni OUT kama ukiweza unaweza kupitia kwenye page yao
1. hii attachment yako haina sehem iliyosema kuwa mwenye Advanced Diploma lazima afanye PGD ndo aende MastersHuwaga sipendi MTU
Huwaga sipendi mtu mbishi,
Mtu aliyesoma Advanced diploma INA mbidi a some postgraduate diploma ili achukue Masters, ndo maana nikaweka angalizo wale wanaochukua postgraduate diploma baada ya degree ni wale wanaotaka kubadili fani ambayo haiendani na bachelor degree zao
Angalia mfano tu kdg, hii ni guide book ya TCU, hamna mahala imetaja eti wa Advanced Diploma lazima afanye PGD ndo aende Masters, nmekurahishia kaz kdg hiyo screenshot ili usihangaike kusoma yote ukachoa, acha ubishiHuwaga sipendi MTU
Huwaga sipendi mtu mbishi,
Mtu aliyesoma Advanced diploma INA mbidi a some postgraduate diploma ili achukue Masters, ndo maana nikaweka angalizo wale wanaochukua postgraduate diploma baada ya degree ni wale wanaotaka kubadili fani ambayo haiendani na bachelor degree zao