Aende tu kwa Kilichompeleka na kamwe siyo kwa Kuijasusia Rwanda, kwani hatopata chochote kwakuwa Rwanda ya sasa ni Israel Kiujasusi

Aende tu kwa Kilichompeleka na kamwe siyo kwa Kuijasusia Rwanda, kwani hatopata chochote kwakuwa Rwanda ya sasa ni Israel Kiujasusi

Hiyo ni political fear waliojengewa wananchi wa kule
Sirikali yao inafatilia hata mambo ya kawaida nadhani ni tahadhari ya kuogopa yasitokee yale ya 1990s..
Serikali ya tz iko vizuri sana sema haifatilii mambo ya hovyo kwa mfano hapa nimeshakula lunch nimeshiba naenda zangu kijiweni kuisema serekali..kule rwanda hata kijiweni ukianzisha mada za kuichambua serekali watu hawakujibu .. Na ukiendelea wanatawanyika
Bora umemchambulia vizuri, Gentamycine anajifanya ni mnyarwanda but hata ukimuambia ataje mikoa minne ya Rwanda haijui, very amateur
 
Balozi wa Tanzania nchini Rwanda Mhe. Mej. Jen. Richard M. Makanzo awasilisha hati zake za utambulisho kwa Mhe. Rais Paul Kagame wa Rwanda.

Chanzo: Ukurasa wa Mtandao ( Instagram ) wa Msemaji wa Serikali Bw. Gerson Msigwa.

Kaipelelezeni Burundi ila siyo Rwanda.
Waulize vizuri hao ndugu zako, wale wanajeshi waliowashambulia nduguzo walitokea na njia gani mpaka wakaanza kusaka watu kwenye malori ya kitanzania.
 
Na baada ya kuwatangwa kule Congo majeshi yetu ya JWTZ chini ya Amiri jeshi Jakaya Kikwete yaliomba kibali cha kurudi nyumbani kupitia Rwanda lakin Rwanda haikukataa wala kukubali ikabidi Amiri jeshi aamuru tutume ujumbe wa kujulisha tu kupita na sio kuomba na tukarejesha vijana wetu kutoka Congo kupitia Rwanda

Majeshi na mifumo yetu ya ulinzi iko vyema sana Alhamdulillah…ila ndio hivyo tena Nabii hakubaliki kwao

Ile heka heka ya magaidi kutingisha kaskazini mwa Mozambique ilipaswa itingishe kule Kusini mwa Nchi yetu baada ya kuangamizwa kibiti na kuwaokomeza

… ila ndio hivyo beki hata akiokoa magoli ya wazi 10 akatoa boko moja basi atahukumiwa kwa lile boko moja tofauti na mshambuliaji hata akitoa boko kumi akatupia mbili basi atakumbukwa kwa alizotupia

Kama wanaujasusi wakutosha mbona tulisha wapiga Kongo, walipo zuga Kwa njia ya uasi wa M23, acheni Kuwa mwambafai sana,
 
Hiyo ni political fear waliojengewa wananchi wa kule
Sirikali yao inafatilia hata mambo ya kawaida nadhani ni tahadhari ya kuogopa yasitokee yale ya 1990s..
Serikali ya tz iko vizuri sana sema haifatilii mambo ya hovyo kwa mfano hapa nimeshakula lunch nimeshiba naenda zangu kijiweni kuisema serekali..kule rwanda hata kijiweni ukianzisha mada za kuichambua serekali watu hawakujibu .. Na ukiendelea wanatawanyika
Uko sawa kabisa mkuu hii ndio kitu kimesababisha watu waone wapo juu kijasusi, tunawajua mbinu zao nyingi tuu.
 
Mitanganyika inasifia kila kitu cha hovyo ilimradi tu kinatoka nje.

Nairobi inaona ni zaidi ya London. Mtanganyika akifika Nairobi mtaa mzima utajua atarudi kavaa cultures za Kenya na kuongea ka mkenya hata kama amekaa siku 2 tu Nairobi.

Mitanganyika inasifia wimbo wowote ule wa Nigeria hata uwe mbaya vp. Sasa nao wanajikuta wanaongea pidgin English.

Mitanganyika sasa inasifia Rwanda sijui kwa lipi. Watu hawana sababu za msingi ila ni kusifia tu Rw ili nao waonekane wajuaji. Rw imezidiwa na mkoa mmoja tu wa TZ kwa kila kitu including intelligence na pisi. Nendeni Manyara na Singida mjionee sio kukaa tu sebleni kwa shemeji zenu na kuanza kusifia wanaume wenzenu.

Mitanganyika ya hovyo sana.
Mimi sipo katika kundi hili ulilolitaja . Am proud of being Tanzanian. Hata hapa mbona wapo waliopinga hoja ya mleta mada?
 
Nikweli lakini si uliona vijana wa Mwakibolwa walivopiga ile mission
Anajifanya amesahau, mpaka Jamaa akaaza kumponda Mkulu wa Kipindi kile, eti ooh raisi gani anachekacheka, mara ooh nikipewa bandali moja ya Tz naweza fanya makubwa, kumbe nyuma ya pazia ni baada ya kupigwa wale waiba madini wao pale Kongo. Kama wao ni Gwiji mbona imekuwa rahisi kujulikana. Kwa taarifa tuu, Tanzania inao watumishi wakutosha, Walio funzwa na na Kula viapo vilivyo tukuka, wenye kuzijua Siri nzito zenye thamani kuliko uhai. East, West, South, hadi Central..n.k, nawanaitumikia nchi bila kuacha hata alama za nyayo zao...
 
Mkuu M23 aikupigwa na tanzania pekee kikosi kiliundwa na nchi Tatu tanzania [emoji1241] Malawi [emoji1156] kwa upande wa ardhini na South africa [emoji1221] upande wa angani. all in all rwanda upande wa ujasusi yupo vizuri tena sana
Sasa una mbegu za kupanda ila huna shamba wala nguvu za kulima shamba zitakusaidia nini?...
 
Na baada ya kuwatangwa kule Congo majeshi yetu ya JWTZ chini ya Amiri jeshi Jakaya Kikwete yaliomba kibali cha kurudi nyumbani kupitia Rwanda lakin Rwanda haikukataa wala kukubali ikabidi Amiri jeshi aamuru tutume ujumbe wa kujulisha tu kupita na sio kuomba na tukarejesha vijana wetu kutoka Congo kupitia Rwanda
This is very interesting story. Hapo tunamuonyeshea kwamba kazi tumemaliza sasa tunarudi nyumbani tutapita hapo kwako kukusabahi na kama una neno sema tukujibu. Noma sana.
 
Na baada ya kuwatangwa kule Congo majeshi yetu ya JWTZ chini ya Amiri jeshi Jakaya Kikwete yaliomba kibali cha kurudi nyumbani kupitia Rwanda lakin Rwanda haikukataa wala kukubali ikabidi Amiri jeshi aamuru tutume ujumbe wa kujulisha tu kupita na sio kuomba na tukarejesha vijana wetu kutoka Congo kupitia Rwanda

Majeshi na mifumo yetu ya ulinzi iko vyema sana Alhamdulillah…ila ndio hivyo tena Nabii hakubaliki kwao

Ile heka heka ya magaidi kutingisha kaskazini mwa Mozambique ilipaswa itingishe kule Kusini mwa Nchi yetu baada ya kuangamizwa kibiti na kuwaokomeza

… ila ndio hivyo beki hata akiokoa magoli ya wazi 10 akatoa boko moja basi atahukumiwa kwa lile boko moja tofauti na mshambuliaji hata akitoa boko kumi akatupia mbili basi atakumbukwa kwa alizotupia
Mkuu, unakumbukumbu nzuri,..
 
Kagame alijaribu kutingisha kiberiti kwa Jakaya anavyomuona anacheka cheka hakumjua vyema

Jakaya alimpa makavu live kule Adis ababa kuwa kama umeshindwa kuwamaliza maadui zako kwa miaka zaid ya 20 maana yake kuna haja ya kuzungumza nao

Akaanza fyoko fyoko mwenyewe akaufyata

Iddy Amin alitisha na kutingisha ukanda huu kuliko Kagame lakini alipokanyaga vibaya 'cable' tulimsambaratisha

Huyu angepigwa kutokea Burundi, Congo, Uganda tena kwa msaada mkubwa sana wa wanyarwanda wenzie waliemchoka


This is very interesting story. Hapo tunamuonyeshea kwamba kazi tumemaliza sasa tunarudi nyumbani tutapita hapo kwako kukusabahi na kama una neno sema tukujibu. Noma sana.
 
Anajifanya amesahau, mpaka Jamaa akaaza kumponda Mkulu wa Kipindi kile, eti ooh raisi gani anachekacheka, mara ooh nikipewa bandali moja ya Tz naweza fanya makubwa, kumbe nyuma ya pazia ni baada ya kupigwa wale waiba madini wao pale Kongo. Kama wao ni Gwiji mbona imekuwa rahisi kujulikana. Kwa taarifa tuu, Tanzania inao watumishi wakutosha, Walio funzwa na na Kula viapo vilivyo tukuka, wenye kuzijua Siri nzito zenye thamani kuliko uhai. East, West, South, hadi Central..n.k, nawanaitumikia nchi bila kuacha hata alama za nyayo zao...
Na siyo lazima apigwe kwa mtutu wa bunduki hata diplomasia tu ilitosha kumlegeza. Ishu ya wahamiaji haramu kurudishwa kwao lilikuwa pigo kali mpaka akaomba yaishe. Watendaji walifaidika sana na wale ng'ombe waliokuwa wakichungwa pori la Burigi.

Ukitaka kuijua hii operation na umahiri wa jeshi letu uliza wakazi wa Kanda ya Ziwa hasa mikoa ya Kagera na Kigoma.
 
Kagame alijaribu kutingisha kiberiti kwa Jakaya anavyomuona anacheka cheka hakumjua vyema

Jakaya alimpa makavu live kule Adis ababa kuwa kama umeshindwa kuwamaliza maadui zako kwa miaka zaid ya 20 maana yake kuna haja ya kuzungumza nao

Akaanza fyoko fyoko mwenyewe akaufyata
Aliufyata kweli kweli sasa wamebaki na propaganda tu nchini mwake Kagame this, Kagame that.
 
Mkuu M23 aikupigwa na tanzania pekee kikosi kiliundwa na nchi Tatu tanzania [emoji1241] Malawi [emoji1156] kwa upande wa ardhini na South africa [emoji1221] upande wa angani. all in all rwanda upande wa ujasusi yupo vizuri tena sana
Kaaga vijiweni mjikusanye mdanganyene Rwanda wa kawaida sana m23 ilisambalatishwa na tz
 
Back
Top Bottom