Komeo Lachuma
JF-Expert Member
- Oct 31, 2014
- 7,926
- 17,030
Kwamba tungepungukiwa nini sasa?Nafarijika sana napomuona rais wangu samia anajichanganya. Anafungua nchi sana aisee .. . Nimemwona kwenye mwendokasi la huko England akienda msibani kwa Malikia Elizabeth. Afadhali Malkia kafa kipindi hiki. Ingekuwa miaka miwili ago.
Magufuli namjua asingeenda. Hivyo nchi isingefunguka. Tunashukuru sana....sasa angalau nasi tunapata wasaaa....
Inferiority complex inasumbua vichwa vya sisi waafrika. Tunahisi kuonewa na kunyanyaswa na kila mtu. Pole za dhati zinatuhusu.Nafarijika sana napomuona rais wangu samia anajichanganya. Anafungua nchi sana aisee .. . Nimemwona kwenye mwendokasi la huko England akienda msibani kwa Malikia Elizabeth. Afadhali Malkia kafa kipindi hiki. Ingekuwa miaka miwili ago.
Magufuli namjua asingeenda. Hivyo nchi isingefunguka. Tunashukuru sana....sasa angalau nasi tunapata wasaaa....
Ulitaka apandishwe ndege?.Kwamba tungepungukiwa nini sasa?
Rais anaenda kupandishwa daladala.
Lugha ya kiingeleza haimfanyi mtu kuwa raisi wa jamhuri ya muungano wa tanzania, elimika.Lugha ilimpiga chenga yule mwendazake. Angejiaibisha tuu huko.
Jibu unalo. Ukishindwa muulize Joe Biden.Ulitaka apandishwe ndege?.
Nafarijika sana napomuona rais wangu samia anajichanganya. Anafungua nchi sana aisee .. . Nimemwona kwenye mwendokasi la huko England akienda msibani kwa Malikia Elizabeth. Afadhali Malkia kafa kipindi hiki. Ingekuwa miaka miwili ago.
Magufuli namjua asingeenda. Hivyo nchi isingefunguka. Tunashukuru sana....sasa angalau nasi tunapata wasaaa....
Kulialia tatizo letu waafrika, tunajiona tuna bahati mbaya kwa machungu yetu mengi ya kila siku.Jibu unalo. Ukishindwa muulize Joe Biden.
VP aliwahi kumchenchiaKulialia tatizo letu waafrika, tunajiona tuna bahati mbaya kwa machungu yetu mengi ya kila siku.
JUHA MAJINUNLugha ilimpiga chenga yule mwendazake. Angejiaibisha tuu huko.