Pre GE2025 Afadhali Ibaki kuwa ndoto tu na isiwe kweli! 2025, January Makamba kuwa Makamu wa Rais, hatimaye kuwa Rais?

Pre GE2025 Afadhali Ibaki kuwa ndoto tu na isiwe kweli! 2025, January Makamba kuwa Makamu wa Rais, hatimaye kuwa Rais?

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)

Bulelaa

JF-Expert Member
Joined
Jun 28, 2024
Posts
1,342
Reaction score
3,247
Naombea iwe ndoto tu tena ya mchana isiyokuwa na uhalisia wowote

Ndoto hii naikemea kwa nguvu zote, maana! Mmh! Iwapo itakuwa kweli mbona itakuwa mwisho wa nchi hii kuwa na matumaini yoyote ya walala hoi siku moja kuondokana na ulala hoi wao..!

Ndoto niliyoletewa iko hivi..!

2025! Makamu wa Rais atakuwa January Makamba, na waziri wa mambo ya nje atakuwa mtoto wa Rais mstaafu

Wakati nikiwa kwenye ndoto, sielewi hapa nitaelezaje, maana ni kama sikuipata picha kamili ya namna Makamba atakavyojikuta amekuwa Rais kamili hata kabla ya 2030!

Naombea hii ndoto isiwe kweli kwa sababu katika Taifa hili, kuna watu ni bora wabaki wa kubebwa tu na siyo kufikia ngazi ya Urais kamili
 
Kwa Tanzania ukiwa waziri mkuu, anza kuaga ndoto za urais; ukiwa waziri wa mambo ya nje au wa sheria na katiba, balozi, anza kuandaa kaulimbiu na hotuba kabisa.

Nguvu Mpya
Ari Mpya
Kasi Mpya - by JK
 
Mimi huwa naomba 2025 waandae makamu wa rais anayejielewa kama Luhaga Mpina .Endapo wakifanikiwa kuiba kura na kuingia madarakani kwa rushwa , yajayo yanatisha na kusikitisha kuhusu chura kiziwi.
 
Naombea iwe ndoto tu tena ya mchana isiyokuwa na uhalisia wowote

Ndoto hii naikemea kwa nguvu zote, maana! Mmh! Iwapo itakuwa kweli mbona itakuwa mwisho wa nchi hii kuwa na matumaini yoyote ya walala hoi siku moja kuondokana na ulala hoi wao..!

Ndoto niliyoletewa iko hivi..!

2025! Makamu wa Rais atakuwa January Makamba, na waziri wa mambo ya nje atakuwa mtoto wa Rais mstaafu

Wakati nikiwa kwenye ndoto, sielewi hapa nitaelezaje, maana ni kama sikuipata picha kamili ya namna Makamba atakavyojikuta amekuwa Rais kamili hata kabla ya 2030!

Naombea hii ndoto isiwe kweli kwa sababu katika Taifa hili, kuna watu ni bora wabaki wa kubebwa tu na siyo kufikia ngazi ya Urais kamili
Inawezekana maana remoti ipo Tanga Beach Resort na ndiyo hotuba ya kushangilia kifo cha shujaa iliratibiwa na kutolewa. Siasa ni game. Sasa sijui upande halisi unamkakati gani.
 
Naombea iwe ndoto tu tena ya mchana isiyokuwa na uhalisia wowote

Ndoto hii naikemea kwa nguvu zote, maana! Mmh! Iwapo itakuwa kweli mbona itakuwa mwisho wa nchi hii kuwa na matumaini yoyote ya walala hoi siku moja kuondokana na ulala hoi wao..!

Ndoto niliyoletewa iko hivi..!

2025! Makamu wa Rais atakuwa January Makamba, na waziri wa mambo ya nje atakuwa mtoto wa Rais mstaafu

Wakati nikiwa kwenye ndoto, sielewi hapa nitaelezaje, maana ni kama sikuipata picha kamili ya namna Makamba atakavyojikuta amekuwa Rais kamili hata kabla ya 2030!

Naombea hii ndoto isiwe kweli kwa sababu katika Taifa hili, kuna watu ni bora wabaki wa kubebwa tu na siyo kufikia ngazi ya Urais kamili
Taja jina la Rais ndiyo nitaamini kama ni ndoto ya kweli.
 
Naombea iwe ndoto tu tena ya mchana isiyokuwa na uhalisia wowote

Ndoto hii naikemea kwa nguvu zote, maana! Mmh! Iwapo itakuwa kweli mbona itakuwa mwisho wa nchi hii kuwa na matumaini yoyote ya walala hoi siku moja kuondokana na ulala hoi wao..!

Ndoto niliyoletewa iko hivi..!

2025! Makamu wa Rais atakuwa January Makamba, na waziri wa mambo ya nje atakuwa mtoto wa Rais mstaafu

Wakati nikiwa kwenye ndoto, sielewi hapa nitaelezaje, maana ni kama sikuipata picha kamili ya namna Makamba atakavyojikuta amekuwa Rais kamili hata kabla ya 2030!

Naombea hii ndoto isiwe kweli kwa sababu katika Taifa hili, kuna watu ni bora wabaki wa kubebwa tu na siyo kufikia ngazi ya Urais kamili
Wewe naye nini kwani hujui makamba ni Rais wako wa awamu ya 7 Atasimamishwa kupitia ccm badala ya samiah suluhu, ccm haijawahi tokea rais mwanamke Wala mwenyekiti mwanamke but it was for emergency
 
Naombea iwe ndoto tu tena ya mchana isiyokuwa na uhalisia wowote

Ndoto hii naikemea kwa nguvu zote, maana! Mmh! Iwapo itakuwa kweli mbona itakuwa mwisho wa nchi hii kuwa na matumaini yoyote ya walala hoi siku moja kuondokana na ulala hoi wao..!

Ndoto niliyoletewa iko hivi..!

2025! Makamu wa Rais atakuwa January Makamba, na waziri wa mambo ya nje atakuwa mtoto wa Rais mstaafu

Wakati nikiwa kwenye ndoto, sielewi hapa nitaelezaje, maana ni kama sikuipata picha kamili ya namna Makamba atakavyojikuta amekuwa Rais kamili hata kabla ya 2030!

Naombea hii ndoto isiwe kweli kwa sababu katika Taifa hili, kuna watu ni bora wabaki wa kubebwa tu na siyo kufikia ngazi ya Urais kamili
Historia inaonyesha makamo wa raisi kuwa raisi ni kwa njia moja tu nayo ni nyembamba mno.
 
Mtu Fulani aliwah sema, Katiba yetu inatoa Room Kwa Makamo wa Rais Mchawi kumuua Rais ili yeye awe Rais.


Kiuhalisia ndoto yako hii unaweza kua Umeitoa kwenye Meza nyeti kabisa , na umeileta hapa ili Tuisemee na tubomoe mpango huo.



Ukweli ni Kua, J.Makamba, Anataka Urais japo Urais haumtaki, Kijana huyu yupo Radhi kufanya lolote ili mradi tu awe Rais.



Kwa kua ameshajua Nchi haimtaki, Huenda Njia pekee ilobaki, ni Hawa Timu Msoga ambao Sasa ndio waloishika CCM, wajifanye kumchomeka Makamba kwenye Umakamo wa Urais.


Na Ama ( japo Sina uhakika kama Samia atagombea ) Samia akiwa na Makamba , Samia ambaye ni Timu Msoga, anaweza kusingizia matatizo ya kiafya kua yanamfanya ashindwe kutimiza majukumu ya Urais, hivo kumuachia Kijana wake Makamba kua Rais.


Au basi Vijana wa hovyo wachawi kutumia Room ya Katiba kuhakikisha Kijana wao anauchota Urais kama ilivyo Kwa JPM March 17.




Hata Hivo , itakua ni NEGLIGENCE, INCOMPETENCE na INSUBORDINATION ya Kiwango Cha juuu sana Kwa Taasisi zetu za Ulinzi na Usalama wakiwemo TISS, KURUHUSU CCM KUMCHAGUA MAKAMBA KUA MAKAMO WA RAIS AU RAIS.



MAKAMBA HAFAI KUA HATA MJUMBE WA NYUMBA KUMI.
 
Back
Top Bottom