Mbona ametangaza na amesema wanafanyia mahesabu ili wajue ni kiasi ganiAngetangaza nyongeza ya mishahara kwa wafanyakazi hadharani angetia chumvi kwenye kidonda kibichi cha mfumuko wa bei.
Jambo hili ni jema na linaonesha ni kwanoiasi gani rais SSH ana uwezo mkubwa wa kufikiri ukilinganisha na mtangulizi wake.
Mambo 4 yafuatayo ndiyo husababisha mfumuko wa bei
1. Upungufu wa mafuta
2. Tangazo la ongezeko la mishahara
3. Ongezeko la bei ya mafuta
4. Tangazo la Vita na Vita yenyewe.
Mama Samia hoyeeee!!!
Uko shallow Sana kwenye hoja zako, tupo wenye akili kubwa next time andika vitu vinavyojadilika na watu wenye akiliAngetangaza nyongeza ya mishahara kwa wafanyakazi hadharani angetia chumvi kwenye kidonda kibichi cha mfumuko wa bei.
Jambo hili ni jema na linaonesha ni kwanoiasi gani rais SSH ana uwezo mkubwa wa kufikiri ukilinganisha na mtangulizi wake.
Mambo 4 yafuatayo ndiyo husababisha mfumuko wa bei
1. Upungufu wa mafuta
2. Tangazo la ongezeko la mishahara
3. Ongezeko la bei ya mafuta
4. Tangazo la Vita na Vita yenyewe.
Mama Samia hoyeeee!!!
marehemu amesimangwa hapa.Angetangaza nyongeza ya mishahara kwa wafanyakazi hadharani angetia chumvi kwenye kidonda kibichi cha mfumuko wa bei.
Jambo hili ni jema na linaonesha ni kwanoiasi gani rais SSH ana uwezo mkubwa wa kufikiri ukilinganisha na mtangulizi wake.
Mambo 4 yafuatayo ndiyo husababisha mfumuko wa bei
1. Upungufu wa mafuta
2. Tangazo la ongezeko la mishahara
3. Ongezeko la bei ya mafuta
4. Tangazo la Vita na Vita yenyewe.
Mama Samia hoyeeee!!!
Naam awamu ya 6 inaendeleza legacy ya jiwe ya kutokuongeza mishahara.Chawa mnabadilisha upepo.
Kama aliweza kutamka hadharani zaidi ya Mara moja kuwa kila kitu kitalanda, Leo ndio ashindwe kutamka mishahara kuongezeka kisa tu bei zjtapanda
Hicho kimdomo chako kwenye Avatar Unafaa kupelekwa DubaiKila mwaka mnaomba kupandishiwa mishahara, kwanini msijiongeze mjipandishe wenyewe muacheni na huu utumwa wa kisaikolojia?
Simply mpo kama ma jobless mlioajiriwa.
Unafurahia status ya utumwa wa kiakili, endelea kuringa ombaomba.Hicho kimdomo chako kwenye Avatar Unafaa kupelekwa Dubai
Ha ha ha haKila mwaka mnaomba kupandishiwa mishahara, kwanini msijiongeze mjipandishe wenyewe muacheni na huu utumwa wa kisaikolojia?
Simply mpo kama ma jobless mlioajiriwa.
Ana wivu huyu, ha ha ha haHuna akili
We jamaa umevurugwa sana!Kila mwaka mnaomba kupandishiwa mishahara, kwanini msijiongeze mjipandishe wenyewe muacheni na huu utumwa wa kisaikolojia?
Simply mpo kama ma jobless mlioajiriwa.
Naam awamu ya 6 inaendeleza legacy ya jiwe ya kutokuongeza mishahara.
Alipunguza asilimia 1 ya payee, akaongeza tozo kila kona!Pole sana
Ameongeza ila hajataja kiwango.
Mbona ametangaza na amesema wanafanyia mahesabu ili wajue ni kiasi gani
Naam awamu ya 6 inaendeleza legacy ya jiwe ya kutokuongeza mishahara.