- Thread starter
- #41
Wenye akili hutoa hoja mbadala hawaishii kuponda na kutoa kejeli.Uko shallow Sana kwenye hoja zako, tupo wenye akili kubwa next time andika vitu vinavyojadilika na watu wenye akili
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wenye akili hutoa hoja mbadala hawaishii kuponda na kutoa kejeli.Uko shallow Sana kwenye hoja zako, tupo wenye akili kubwa next time andika vitu vinavyojadilika na watu wenye akili
Sijawahi jutia kuajiriwa.Pole mkuu kwa kuvurugwa maana sielewi quote yangu imefikaje huku.
Mshahara usimlaumu Mama Samia ulicheza mwenyewe darasani
Wewe tu ndiye huna utaalam. Pole yakoBongo kila mtu ni mtaalam,mchambuzi,mjuaji na Mjuvi wa kila kitu
Big up mzee wa an field, mwaka huu mkomae na FA, champions league, premiere league zinaenda city of Manchester.Nishajiongeza tokea zamani.
"Naitwa Mr. Liverpool ni mkulima wa Parachichi"
Ila nachosema " Mshahara mkubwa ni haki yangu"
Cc:- picha 👇👇
View attachment 2207309
Mwezi ujao tunaanza jaza mifuko ya pesaaaa.
Ila MSHAHARA MKUBWA LAZIMA.
#YNWA
Inama kidogo basiNaona hasira zimepungua baada ya kuelewa ukweli, amka usingizini tazama fursa nyingine, usiwaze watu wasiokuhusu fikiria kuongeza kipato chako uache kugeuzwa mtumwa.
Najua chungu lakini ndio dawa, meza tu.
WTF = Wewe Tu Fala
Hongereni watumishi.Pole sana
Ameongeza ila hajataja kiwango.
Acha utoto,bei hazipandi kwa kutangaza,pia kwani salary iliongezeka mwezi wa 7 hatutajua?Angetangaza nyongeza ya mishahara kwa wafanyakazi hadharani angetia chumvi kwenye kidonda kibichi cha mfumuko wa bei.
Jambo hili ni jema na linaonesha ni kwa kiasi gani rais SSH ana uwezo mkubwa wa kufikiri ukilinganisha na mtangulizi wake.
Mambo 4 yafuatayo ndiyo husababisha mfumuko wa bei
1. Upungufu wa mafuta
2. Tangazo la ongezeko la mishahara
3. Ongezeko la bei ya mafuta
4. Tangazo la Vita na Vita yenyewe.
Mama Samia hoyeeee!!!
Wewe Tu FalaWewe Tu Fala
Kwa akili yako akiongeza "kwa siri" haitajulikana???Angetangaza nyongeza ya mishahara kwa wafanyakazi hadharani angetia chumvi kwenye kidonda kibichi cha mfumuko wa bei.
Jambo hili ni jema na linaonesha ni kwa kiasi gani rais SSH ana uwezo mkubwa wa kufikiri ukilinganisha na mtangulizi wake.
Mambo 4 yafuatayo ndiyo husababisha mfumuko wa bei
1. Upungufu wa mafuta
2. Tangazo la ongezeko la mishahara
3. Ongezeko la bei ya mafuta
4. Tangazo la Vita na Vita yenyewe.
Mama Samia hoyeeee!!!
Ulitaka kusema jambo jema ukalitia mavi kwa chuki zako binafsi...Angetangaza nyongeza ya mishahara kwa wafanyakazi hadharani angetia chumvi kwenye kidonda kibichi cha mfumuko wa bei.
Jambo hili ni jema na linaonesha ni kwa kiasi gani rais SSH ana uwezo mkubwa wa kufikiri ukilinganisha na mtangulizi wake.
Mambo 4 yafuatayo ndiyo husababisha mfumuko wa bei
1. Upungufu wa mafuta
2. Tangazo la ongezeko la mishahara
3. Ongezeko la bei ya mafuta
4. Tangazo la Vita na Vita yenyewe.
Mama Samia hoyeeee!!!
Mungu hadhihakiwi,usipofuta kauli yako yatakukuta makubwa zaidi ya ukengengezaMakengeza Mbowe ameshakufira mpaka akiki zimekuruka Kama kichaa mnywa mbege
Hapa nakupongeza, nawashauri na wengine waige mfano wako wasimtegemee mwanasiasa kila siku kuwapa wanachotaka, watafeli na muda hauwasubiri.Nishajiongeza tokea zamani.
"Naitwa Mr. Liverpool ni mkulima wa Parachichi"
Ila nachosema " Mshahara mkubwa ni haki yangu"
Cc:- picha [emoji116][emoji116]
View attachment 2207309
Mwezi ujao tunaanza jaza mifuko ya pesaaaa.
Ila MSHAHARA MKUBWA LAZIMA.
#YNWA
Hii picha ya mwanaume mwenzio ndio ume save kwenye simu yako? utakuwa sio rizki.
Unadhani Mungu Ni makengeza Mbowe.Mungu hadhihakiwi,usipofuta kauli yako yatakukuta makubwa zaidi ya ukengengeza
Kalia kwanza hapo usikilizieHii picha ya mwanaume mwenzio ndio ume save kwenye simu yako? utakuwa sio rizki.
Si mnasema legacy inafutwaNaam awamu ya 6 inaendeleza legacy ya jiwe ya kutokuongeza mishahara.