Afadhali Rais Samia kaukwepa mtego wa kutangaza nyongeza ya mishahara kwa wafanyakazi. Hongera mama!

Afadhali Rais Samia kaukwepa mtego wa kutangaza nyongeza ya mishahara kwa wafanyakazi. Hongera mama!

Uko shallow Sana kwenye hoja zako, tupo wenye akili kubwa next time andika vitu vinavyojadilika na watu wenye akili
Wenye akili hutoa hoja mbadala hawaishii kuponda na kutoa kejeli.
 
  • Thanks
Reactions: Tui
Pole mkuu kwa kuvurugwa maana sielewi quote yangu imefikaje huku.

Mshahara usimlaumu Mama Samia ulicheza mwenyewe darasani
Sijawahi jutia kuajiriwa.

Tafadhali refer post #43

Sijawahi cheza darasani...
Na haya ndio matunda yake 👇👇

IMG-20220412-WA0003.jpg


Mshahara mkubwa tutapata July/2022.
Mama sio muongo.

KARIBU KWENYE SIDE HUSTLE ZA KILIMO ILI TUBADILI UDONGO KUWA PESAAAAAAAA.

👇👇👇 SIJAWAHI CHEZA DARASANI na SITOWAHI CHEZA MAISHANI.
IMG-20220412-WA0005.jpg


Poleeeeeeee

#YNWA
 
Nishajiongeza tokea zamani.

"Naitwa Mr. Liverpool ni mkulima wa Parachichi"

Ila nachosema " Mshahara mkubwa ni haki yangu"

Cc:- picha 👇👇
View attachment 2207309

Mwezi ujao tunaanza jaza mifuko ya pesaaaa.

Ila MSHAHARA MKUBWA LAZIMA.

#YNWA
Big up mzee wa an field, mwaka huu mkomae na FA, champions league, premiere league zinaenda city of Manchester.
 
Naona hasira zimepungua baada ya kuelewa ukweli, amka usingizini tazama fursa nyingine, usiwaze watu wasiokuhusu fikiria kuongeza kipato chako uache kugeuzwa mtumwa.

Najua chungu lakini ndio dawa, meza tu.
Inama kidogo basi

IMG_20220424_220618.jpg
 
Angetangaza nyongeza ya mishahara kwa wafanyakazi hadharani angetia chumvi kwenye kidonda kibichi cha mfumuko wa bei.

Jambo hili ni jema na linaonesha ni kwa kiasi gani rais SSH ana uwezo mkubwa wa kufikiri ukilinganisha na mtangulizi wake.

Mambo 4 yafuatayo ndiyo husababisha mfumuko wa bei
1. Upungufu wa mafuta
2. Tangazo la ongezeko la mishahara
3. Ongezeko la bei ya mafuta
4. Tangazo la Vita na Vita yenyewe.

Mama Samia hoyeeee!!!
Acha utoto,bei hazipandi kwa kutangaza,pia kwani salary iliongezeka mwezi wa 7 hatutajua?

Rais wa Kenya katangaza hadharani kwa hiyo Bei zitapanda?

Ishu ni kwamba wanajaribu kuweka mambo fulani fulani sawa.
 
Angetangaza nyongeza ya mishahara kwa wafanyakazi hadharani angetia chumvi kwenye kidonda kibichi cha mfumuko wa bei.

Jambo hili ni jema na linaonesha ni kwa kiasi gani rais SSH ana uwezo mkubwa wa kufikiri ukilinganisha na mtangulizi wake.

Mambo 4 yafuatayo ndiyo husababisha mfumuko wa bei
1. Upungufu wa mafuta
2. Tangazo la ongezeko la mishahara
3. Ongezeko la bei ya mafuta
4. Tangazo la Vita na Vita yenyewe.

Mama Samia hoyeeee!!!
Kwa akili yako akiongeza "kwa siri" haitajulikana???
 
Kwamba serikali inashindwa na wafanyabiashara wake?

Unaogopa kusema unapandisha kiasi gani kisa unawaogopa wafanyabiashara?
 
Angetangaza nyongeza ya mishahara kwa wafanyakazi hadharani angetia chumvi kwenye kidonda kibichi cha mfumuko wa bei.

Jambo hili ni jema na linaonesha ni kwa kiasi gani rais SSH ana uwezo mkubwa wa kufikiri ukilinganisha na mtangulizi wake.

Mambo 4 yafuatayo ndiyo husababisha mfumuko wa bei
1. Upungufu wa mafuta
2. Tangazo la ongezeko la mishahara
3. Ongezeko la bei ya mafuta
4. Tangazo la Vita na Vita yenyewe.

Mama Samia hoyeeee!!!
Ulitaka kusema jambo jema ukalitia mavi kwa chuki zako binafsi...
 
Nishajiongeza tokea zamani.

"Naitwa Mr. Liverpool ni mkulima wa Parachichi"

Ila nachosema " Mshahara mkubwa ni haki yangu"

Cc:- picha [emoji116][emoji116]
View attachment 2207309

Mwezi ujao tunaanza jaza mifuko ya pesaaaa.

Ila MSHAHARA MKUBWA LAZIMA.

#YNWA
Hapa nakupongeza, nawashauri na wengine waige mfano wako wasimtegemee mwanasiasa kila siku kuwapa wanachotaka, watafeli na muda hauwasubiri.
 
Vitu vilianza kupanda bei siku ile tu aliposema kuna vita vya rusia na ukraine tutegemee vitu kupanda bei sababu ya vita hii.hayo mambo ya mishahara ni mbwbwe.
 
Back
Top Bottom