Afadhali Rais Samia kaukwepa mtego wa kutangaza nyongeza ya mishahara kwa wafanyakazi. Hongera mama!

Oyeee
 
Mbona ametangaza na amesema wanafanyia mahesabu ili wajue ni kiasi gani
Yani na wewe unaamini kuwa bado wanafanya mahesabu? Kuanzia mwezi wa 4 Hadi wa 6 si ndiyo kipindi Cha bajeti ambayo imeshajadiriwa na Cabinet sa hivi inapitishwa na Bunge? Hayo mahesabu wanayoenda kufanya ni yapi tena?
 
Wivu unakusumbua tu, why negative?
 
Wivu nikuonee wewe unaeomba kuongezewa mshahara kila mwaka?

You must be kidding young lady, emancipate yourself from mental slavery, matokeo yake mnamuona Rais kama mungu wenu!.
Rais ni kiongozi wetu, lazima aambiwe shida zetu.

Acha wivu dogo, kupata mshahara mwisho wa mwezi raha sana
 
Hakuna nyongeza thus katumia lugha za janja janja eti kuwakwepa wafanyabiashara, wafanyabiashara hawa wanaoongeza bei za bidhaa kila siku.
Ataje asilimia, kama alivyotaja UHURU Kenyatta kwa wafanyakazi wa Kenya
 
Hyo co 7bu
 
Kama kweli Mh. Rais kaogopa kutangaza ongezeko la Mishahara kwa kuogopa Mfumuko wa Bei kwenye Nchi ambayo yeye ndo Amiri Jeshi Mkuu!!!

Basi Serikali yake, ni LEGELEGE.
 
Ongezeko la bei ya mafuta limekuwepo hata kabla ya tangazo la mshahara kupanda
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…