johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 97,869
- 171,716
Kama kila kitu kinaenda kwa uwazi na Ukweli kwanini makamishina wa IEBC wanapingana hadharani wenyewe kwa wenyewe?
cc: Halima Mdee na wenzake
cc: Halima Mdee na wenzake
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Huna hoja! Kaa kimya wewe msukule wa Lumumba.Kama kila kitu kinaenda kwa uwazi na Ukweli kwanini makamishina wa IEBC wanapingana hadharani wenyewe kwa wenyewe?
cc: Halima Mdee na wenzake
Hahaha.......Chebukate afadhali ya MaheraHuna hoja! Kaa kimya wewe msukule wa Lumumba.
Acha kumfananisha Wafula Chebukati na huo uchafu.Hahaha.......Chebukate afadhali ya Mahera
JK amewasifia sana KenyaWote utopolo tu kwa Africa labda Ghana wana weza kua wa kuigwa
Chebukati kadundwa amerudi bila miwaniAcha kumfananisha Wafula Chebukati na huo uchafu.
Muhimu amefanikiwa kumtangaza mshindi halali. Angekuwa huyo Mahera wako, muda huu angekuwa anatafuna vipaja vya kuku kule magogoniChebukati kadundwa amerudi bila miwani
Chebukati ameirudisha nyuma KenyaMuhimu amefanikiwa kumtangaza mshindi halali. Angekuwa huyo Mahera wako, muda huu angekuwa anatafuna vipaja vya kuku kule magogoni
Imemuuma Raila kushindwa ndio maana ameanzisha uzi kwa kuandika utumbo.Watu wenye akili timam always wanapenda ku argue, kufananisha IEBC na NEC ni sawa na kichuguu na Kilimanjaro
Usijipake uchafu kwa kuilinganisha IEBC na NEC.Kama IEBC wangalikuwa nec wangalifata matakwa ya Kenyatta na Ruto asingeshinda kwa sababu nec sio huru na wao wanajuaKama kila kitu kinaenda kwa uwazi na Ukweli kwanini makamishina wa IEBC wanapingana hadharani wenyewe kwa wenyewe?
cc: Halima Mdee na wenzake