promethus
JF-Expert Member
- Feb 22, 2016
- 1,164
- 1,901
Atagaragazwa tuView attachment 2324674
Hawa makamishna walikuwa wanamuunga mkono odinga…walipendekezwa na uhuru wakaingia kwenye tume ,uhuru aliweka wazi anamsupport raila na hawa aliwapendekeza unadhan walikuwa side gani…
Mwanzo mbona uhakiki ulienda vyema ,gafla mwishon kutangaza ndo wajitoe? Na wafuasi wa raila waanzishe ugomvi nje ya bomas na raila asitokee….hawa wote walitaka kutoa taharuki hawaamin kama ruto kawapiga live…bado walikuwa wanaamin nafasi ya kushinda ipo as walikuwa wanakaribiana sana
Uzuri ni kwamba mahakama imetoa siku 7 za raila kupinga mahakamani kama haridhiki na matokeo na yatachunguzwa upya simple kabisa
Wakapinge mahakamani
Sent from my Infinix X665B using JamiiForums mobile app