Afande Kagame: Wanajeshi huwa hawalalamiki?

Afande Kagame: Wanajeshi huwa hawalalamiki?

Mh Kikwete alipeleka Jeshi ambalo lilisambaratisha M 23 kwa wiki mbili vita yao ndio ikaanzia hapo...
Mpaka leo watanzania wanachúkiwa kwa sababu hiyo.Raisi kikwete alionekana anaingilia maslahi binafsi ya Kagame.Nakumbuka nilikua Rusumo nikasikia hotuba ya kagame alipokua anahutubia vijana wa chama chake kule Kigali,alimtusi sana kisiasa na kwa dhiaka Raisi kikwete na watanzania mpaka nikajiuliza hii jeuri Kagame anaitoa wapi????
 
Walishasettle tofauti zao kitambo sana wako poa kwa sasa
Sio kwa mjomba Kagame,nawajua sana RPF na mentality zao.Waga wanasettle tofauti usoni tu.Museveni anawajua vizuri sababu walichomfanyia hatawasahau wanyarwandwa wale na kosa lake ilikua ni kuwaamini na kuwapa idara nyeti kwenye serikali yake.
 
Nimesoma nimebaki natetemeka

Hapo mhanga siyo Afande Kagame. Mhanga ni mwananchi wa Rwanda.

Kagame ashauriwe kukaa meza ya mazungumzo kwa sababu mema aliyoifanyia Rwanda ni kwa faida ya wananchi wa Rwanda. Kushikiana mtutu ni dalili ya kupalilia uharibifu.

Tusiwaonee wivu wanyarwanda bali tuangalie namna ya kuwapatanisha kwa sababu ni wilaya ya Afrika inayopiga hatua kubwa kiuchumi.

Tusifikie huko jamani.
Vita ni adui wa ustawi
Kagame hashauriki mpaka mitutu ya bunduki ifike tena kigali.Kama yeye alivyomfanyia Habriymana.
 
Nimesoma nimebaki natetemeka

Hapo mhanga siyo Afande Kagame. Mhanga ni mwananchi wa Rwanda.

Kagame ashauriwe kukaa meza ya mazungumzo kwa sababu mema aliyoifanyia Rwanda ni kwa faida ya wananchi wa Rwanda. Kushikiana mtutu ni dalili ya kupalilia uharibifu.

Tusiwaonee wivu wanyarwanda bali tuangalie namna ya kuwapatanisha kwa sababu ni wilaya ya Afrika inayopiga hatua kubwa kiuchumi.

Tusifikie huko jamani.
Vita ni adui wa ustawi
Maendeleo ya Rwanda yananufaisha wachache waliopo Rwanda.Wale waliopo ukimbizini hawanufaiki kwa lolote na ndio maana wameamua kuchukua mtutu wa bunduki ili wapate nafasi ya kurudi nyumbani sababu hakuna njia mbadala.
 
Kwenye Camera tuu ila Kagame mtu yeyote anaeingilia ulaji wake anamuona ni adui mkubwa kwake kama Mseveni aliemuweka pale wanazinguana sio mtu wa kumwamini yule ndege ya Uganda imeanza safari wiki hii kwenda Kigali toka miaka ile ya ugomvi wao...
Upo sahii mkuu,ndio maana wapinzani wake wanaona njia sahii ya kudeal nae ni kutumia mtutu.Na yeye anajua consequences za kutumia mtutu zipoje.
 
Mzee walikujia wale makachero wa kawaida,au wale wanajiita special force????.Ni kawaida yao kutowaamini Watanzania mkuu.
Walikuja wa kawaida ila tuliongea tuu kirafiki wao walisema pia sitakiwi kwenda kujichanganya kwenye nyumba za raia kutokana na hili gonjwa maana wanasema unaweza ukapa pisi ikakwambia mwende nyumbani kwao nikasema pisi itakuja hapa maana naweza kusema nimepata pisi kumbe ndio nyie nyie tena...ila wanaipenda Daslm kuliko majiji mengi wakisikia umetoka Tanzania wanatamani uwalete daslm..
 
Walikuja wa kawaida ila tuliongea tuu kirafiki wao walisema pia sitakiwi kwenda kujichanganya kwenye nyumba za raia kutokana na hili gonjwa maana wanasema unaweza ukapa pisi ikakwambia mwende nyumbani kwao nikasema pisi itakuja hapa maana naweza kusema nimepata pisi kumbe ndio nyie nyie tena...ila wanaipenda Daslm kuliko majiji mengi wakisikia umetoka Tanzania wanatamani uwalete daslm..
Sema mkuu hapo umesema kweli.Hivi kwanini Wanyarwanda na Wacomoro na Warundi na Wacongomani na Wazambia wanaipenda sana Dar es salaam.Kuna nini Dar es salaam????
 
Acheni uoga kama mnaweza shikeni siraha mje Kigali tupambane, mlikimbizwa kwa siraha na nyie kama mnaweza rudini kwa siraha, hata Kagame akifa leo nyie mbwa hamna uwezo wa kuchukua madaraka ya [emoji1206] tulipigana tukawashinda na hatujasahau mlivyoua ndugu zetu tutaendelea kuwafuatilia popote mlipo duniani and we must eliminate all of you.
 
Acheni uoga kama mnaweza shikeni siraha mje Kigali tupambane, mlikimbizwa kwa siraha na nyie kama mnaweza rudini kwa siraha, hata Kagame akifa leo nyie mbwa hamna uwezo wa kuchukua madaraka ya [emoji1206] tulipigana tukawashinda na hatujasahau mlivyoua ndugu zetu tutaendelea kuwafuatilia popote mlipo duniani and we must eliminate all of you.

Umutekano please
 
Acheni uoga kama mnaweza shikeni siraha mje Kigali tupambane, mlikimbizwa kwa siraha na nyie kama mnaweza rudini kwa siraha, hata Kagame akifa leo nyie mbwa hamna uwezo wa kuchukua madaraka ya [emoji1206] tulipigana tukawashinda na hatujasahau mlivyoua ndugu zetu tutaendelea kuwafuatilia popote mlipo duniani and we must eliminate all of you.
Watarudi tu wala usiwe na shaka.Na safari hii Tanzania wala Uganda wala Marekani haitowasaidia.Kwani unadhani na wao wahutu wamesahau watusi walivyoua ndugu zao kwa karne nyingi kabla Rwanda haijapata uhuru kutoka kwa mkoloni.Tumechoka kubeba wakimbizi wa Rwanda hivyo watarudi tu Kigali,afande Kagame aache kulalamika asiogope vita vinavyokuja siku za usoni na uzuri time will tell everything
 
Acheni uoga kama mnaweza shikeni siraha mje Kigali tupambane, mlikimbizwa kwa siraha na nyie kama mnaweza rudini kwa siraha, hata Kagame akifa leo nyie mbwa hamna uwezo wa kuchukua madaraka ya [emoji1206] tulipigana tukawashinda na hatujasahau mlivyoua ndugu zetu tutaendelea kuwafuatilia popote mlipo duniani and we must eliminate all of you.
Mkuu mwambie afande PS aache kulalamika,awe kama Habriymana unapambana mpaka tone la mwisho.
 
Afande Kagame siku nyingine najua unapitia pitia mitandao ya kijamii ya Watanzania iliyoandikwa kwa lugha za Kiswahili ama Kingereza kama Jamii Forums na kadhalika.

Afande najua hupendi kuulizwa maswali ila mimi ngoja nikuulize swali, mbona unakuwa muoga wa kurudi frontline kupambana na haya makundi FDLR, RLA, PRA, RUF,PDR na mengine mengi ambayo sijayataja hapa wakati wewe ndio uliwafukuza madarakani tokea 1994?

Unadhani watakaa Congo DRC, Tanzania, Kenya, South Sudan, Burundi, Uganda, USA, Canada na Australia mpaka lini kwenye hali ngumu kimaisha na kiukimbizi wakati Rwanda ni nchi yao pia?

Wengi wa wanajeshi uliowapindua wameshakufa vimebaki vizazi vipya ambavyo dhumuni lao kubwa ni kurudi Rwanda iwe kwa nguvu au kwa demokrasia. Wewe mwenyewe ulikaa Uganda na Tanzania miaka mingapi kama mkimbizi mpaka mjomba Museveni alipokupa mipango ya kurudi Rwanda au umesahau?

Usiogope kupambana afande Kagame, sababu anayeua kwa upanga lazima atauawa kwa upanga. Au umesahau kuwa dunia nayo ilikuwa inaona jinsi RPF ilivyokuwa inaua Wahutu na Wakongomani ndani ya Rwanda na ndani ya Congo DRC majimbo ya Kivu Kaskazini na Kivu Kusini kulipiza kisasi cha genocide ya Watusi ya mwaka 1994 iliyofanywa na serikali ya Habriymana?

Sawa ipo wazi kuwa Habyrimana alikua mbaguzi, katili, mkabila na asiyependa demokrasia hilo linajulikana, ila na wewe toka uchukue madaraka kutoka kwenye kivuli cha Bizimungu umekua kama yeye, hakuna tofauti!

Sasa usiogope kurudi frontline kupambana na ukumbuke kuwa Rwanda hakuna uchaguzi huru toka Mbeligiji aondoke, bali mtutu wa bunduki ndio unaamua mtawala.

Mchawi wala sio Wakongomani au Watanzania au Warundi au Waganda bali mchawi ni wewe mwenyewe uliyevuruga mambo kwa kuukumbatia ukabila na ulevi wa madaraka kama role model wako mjomba Museveni.

Sasa Afande Kagame acha kulalamika kama sio mwanajeshi mbobezi, bali usiogope kurudi uwanja wa mapambano kushika bunduki na kuongoza vikosi na ipo siku usiyotegemea watu watasogea Kigali.

Yaliyomkuta Kanali Doe pale Monrovia na wewe yanaweza kukukuta siku watu wakisogea Kigali na wewe ukiwa haujaondoka ikulu. Au umesahau Mobotu alivyoponea uchupu chupu kule Gabolite alipogoma kuondoka Zaire ya zamani mwaka 1997?

Acha uoga afande, wewe uliingia madarakani kwa mtutu wa bunduki, basi na watu wakitaka kukutoa madarakani kwa mtutu wa bunduki "Usilalamike".
Inaongea ukiwa umejificha kwenye pori gani??
Bukavu au goma?
 
Back
Top Bottom