Ikiwa ni kweli ni bora maana huyu kaja kuwaweka na kuwarudisha Dar es salaam polisi wengi waliokuwa wamepelekwa mikoani ambao walikuwa tuhuma kuwa wezi.wapigaji waonevu na waliojaa rushwa
Ukisikia kulewa madaraka ndiyo huko, Hivi Ile tume ya kufanyia malekebisho vyombo vya ulinzi na usalama bado iko kazini?. Kisha utegemee ushauri wa kujenga toka kwa wazee wa hivi SAHAU.