mpiga vichwa
JF-Expert Member
- Oct 21, 2021
- 2,376
- 3,811
KolooooooooNi wakati wenu, tambeni muwezavyo lakini mkumbuke kuimba ni kupokezana, msije sema hatukuwaambia
Muha Sibu aka Chawa wa MwamediParedi bongooooooo?! π‘π‘π‘
5imba mipango yao ilikuwa zaidi kuwategemea binadamu wakatili Kayafa Jiwe na Bashite,sisi Yanga tunamtegemea Mungu na mipango thabiti ya kisasa.Simba walisema watapiga 10 wakaishia4, nyie ndio kwanza mko msimu wa tatu kelele kibao
Sisi sio SimbaSimba walisema watapiga 10 wakaishia4, nyie ndio kwanza mko msimu wa tatu kelele kibao
Hasibu kama hasibuParedi bongooooooo?! [emoji35][emoji35][emoji35]
π€ͺπ€ͺπ€ͺParedi bongooooooo?! π‘π‘π‘
Mungu gani huyo aliyeshindwa kuwasaidia kule south? Au mnamtegemea mkiwa tz tu?5imba mipango yao ilikuwa zaidi kuwategemea binadamu wakatili Kayafa Jiwe na Bashite,sisi Yanga tunamtegemea Mungu na mipango thabiti ya kisasa.