Afande Sele aachana na Uislamu, sasa anaabudu Jua!

FaizaFoxy
Gavana
kahtaan
Mahmood


Cc

mgen

Afande sele amejikomboa
 
Well said brother
 
Mkuu jua haliwaki milele,jua ni nyota na nyota ni mkusanyiko wa superheated gases na all the time zina evaporate taratibu na mwisho wa siku gesi zote zitaisha.hii ni according to thermal dynamics law.
Napata shaka kwenye hiyo dhana yako kuwa jua halitawaka milele.
 
Ana Uhuru huo, kule wanachinjana sana na kujilipua
Ha ha ha, ngoja niku connect na wakina kahtaan, big show
FaizaFoxy Mahmood
Gavana...

Unajua kuna uongo.mmoja unaenezwa duniani unasema eti uislamu unakua.

Ila ukichimba sana takwimu utagundua kwa research lakini zilizofanyika there is massive growing number of EX muslims around the world.

Huyu afande sele amejitokeza na kutamka hadharani wengine kule hasa kule Arabuni hawasemi waziwazi. Manake wanahofia kuuwawa.

Kuna ma ex muslims walioacha uislamu pale walipoenda marekani kutoka aarabuni. Wanadai wanazuga waonekane wanaamini uislamu lakini mioyoni hawaamini tena. Kwa hofu ya kutengwa wanaishia ku pretend nk.

Ndio maana hapa tizedi siku za mfungo, biashara ya mdudu hua haiwi vizuri sana.

Mambo yanayochangia ni pale wanapokatazwa kusoma baibo kisha wanaambiwa na wanazuoni wao kua:-.ikiwa wakiisoma baibo wataamini. Wanajikuta waki develop curiosity.why bibo ina nini?

Na mambo.mengine yanahusiana na ukaribu wao na Mungu na kasoro zinazojitokeza katika ile wanaita natural justice katika jamii zao. Kila mwanadamu pasi kua na dini anajua hii ni sawa na hii si sawa. Wanaita dhamiri.

Ukikuta mtu ni mnoko sana si ajabu ameathiriwa na indocrination
 
Hiyo dini wanaita COSMO, wanaabudu jua, rafiki yangu wa karibu anaimani hiyo, tena ana strong point za kudefend dini yake.

Naona rafiki amekushawishi sana, kanisa lao lipo wapi hapa Tz
 
Kutokana na tabia yake ya uvutaji wa bangi wa kiwango cha juu sana kiasi cha waliojaribu kiwango waligeuka vichaa kama 20% na Daz Baba, bado naona kuwa uamuzi wake huo ulisukumwa na nguvu ya bangi.

Ova
 
duu kweli kumuelewa afande ni kwa wenye uelewa mpana sana.lakini wengine marue rue tu na hoja zao zimejaa feelings kuliko reasoning/ logic
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…