Amechanganywa Na Ma CCM si alikua anagombea Ubungo? Alizunguka kwenye kampeni Kwa dau kubwa, alifikiri Christmas is forever? Stupid man anaisoma namba Mwenzie prof J yuko mahali sahihi Na chama sahihi Na watu sahihi, hakuna cha Jua wala mwezi, Tena shukuru uko Tz hao wenzako uliokua nao wasije kukulima kwa kusema huko ukikotoka hakutoshiAna Uhuru huo, kule wanachinjana sana na kujilipua
mungu ndio nini hiyo? yuko wapi? anafananaje?Hajui kwamba vyote vilivyomo ni mali ya Mungu.. Hilo jua analoliabudu nalo liliumbwa na Mungu
Ha ha ha, Wahindi wekundu wame tuharibia watu kwa kugundua ule mmea dah! huyu jamaa alianza na kusaula jukwaani sasa ana panda ngazi kila uchao,hizi ni imani za kale za Wahindi wa Peru (Aztec) ambao nao walikuwa wana tumia hilo jani kuliko mbuzi na jua lilikuwa Mungu wao,sasa kama kuabudu jua ni mwelekeo wa kila anaye litumia itakuwa ni shughuli.Yule nguli wa muziki kutoka mji kasoro bahari, Mfalme pekee wa rhymes, anayependa kujiita simba dume, Selemani Msindi au Afande Sele ameama kuachana na uisilamu na sasa Mungu wake ni jua
Amedai baada ya kufikiria muda mrefu ameona aimwabudu mungu ambaye hamwoni wala hajawi ku experience uwepo wake, na kwamba ameona kwa kua Jua ndio chanzo cha kila kitu kuanzia chakula na bidhaa zote pamoja na teknolojia hutegemea jua ambalo ndio moto, kwenye uzalishaji wake au uendeshwaji wake, pia jua lipo kila mahali basi hilo ndio litakuwa Mungu,
pia amesema ameacha wosia kuwa atakapoufa achomwe moto
msikilize hapa kwa undani zaidi
https://www.facebook.com/
Twa subiri kukaa chini ya kiti Chake tukisikiza akitupigia zeze lake baada ya kutoka purgatioPole sana, hujawahi mabikra 72 tu!?
Naona rafiki amekushawishi sana, kanisa lao lipo wapi hapa Tz
Bora ya huko! Kuliko kule wanakof.irana mpaka sasa wameamuwa kuowana.Ana Uhuru huo, kule wanachinjana sana na kujilipua
na atuambie kama kuna vitabu vyao vya dini kuhusu hilo jua
Anaogopa kufa huyu, after all who is selemani? of what use value to masses of tanzaniaYule nguli wa muziki kutoka mji kasoro bahari, Mfalme pekee wa rhymes, anayependa kujiita simba dume, Selemani Msindi au Afande Sele ameama kuachana na uisilamu na sasa Mungu wake ni jua
Amedai baada ya kufikiria muda mrefu ameona aimwabudu mungu ambaye hamwoni wala hajawi ku experience uwepo wake, na kwamba ameona kwa kua Jua ndio chanzo cha kila kitu kuanzia chakula na bidhaa zote pamoja na teknolojia hutegemea jua ambalo ndio moto, kwenye uzalishaji wake au uendeshwaji wake, pia jua lipo kila mahali basi hilo ndio litakuwa Mungu,
pia amesema ameacha wosia kuwa atakapoufa achomwe moto
msikilize hapa kwa undani zaidi
https://www.facebook.com/
afande sele afadhali yeye amejaribu kukaa chini aka reason, sio hawa wengine vitabu vyao vimejaa contradiction kibao ukiwauliza majibu yao wanakupa blah blah tuI sawa this coming, kwa waliokuwa wanamfuatulia au kumjua Sele personally sio habari kwao, matter of fact aliacha uislam zamani Ni hivi punde tu ndiyo katangaza hadharani.
Ni muelewa sana Sele na ni great thinker. Hayo ni maamuzi yake na yaheshimiwe.
Bange mbaya sanaYule nguli wa muziki kutoka mji kasoro bahari, Mfalme pekee wa rhymes, anayependa kujiita simba dume, Selemani Msindi au Afande Sele ameama kuachana na uisilamu na sasa Mungu wake ni jua
Amedai baada ya kufikiria muda mrefu ameona aimwabudu mungu ambaye hamwoni wala hajawi ku experience uwepo wake, na kwamba ameona kwa kua Jua ndio chanzo cha kila kitu kuanzia chakula na bidhaa zote pamoja na teknolojia hutegemea jua ambalo ndio moto, kwenye uzalishaji wake au uendeshwaji wake, pia jua lipo kila mahali basi hilo ndio litakuwa Mungu,
pia amesema ameacha wosia kuwa atakapoufa achomwe moto
msikilize hapa kwa undani zaidi
https://www.facebook.com/
msome hapa mkuuAnaogopa kufa huyu, after all who is selemani? of what use value to masses of tanzania
Dini zimeletwa Afande Sele ft Belle 9
nafikiri pia afande sele amejiuliza maswali kama haya Kwa Kosa La Shetani. Why Nyoka Ndo Apate Adhabu? akaona hapati logic yoyote ile akamuua kuachana na hizi mambo