Ray 4 real
JF-Expert Member
- Feb 20, 2014
- 801
- 764
Tafsiri ganiNini tafsiri yake?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Tafsiri ganiNini tafsiri yake?
Hata hiyo yangu nayo niko huru.
Freedomof opinion ni kitu kimoja.
Opinion moja kuwa mbaya na nyingine kuwa nzuri ni kitu kingine.
Hakuna ubishi kwamba kila mtu ana uhuru wa kutoa opinion.
Lakini hilo halina maana mtu akisema kula mavi yana faida za kiafya ukubali, kwa sababu ni nchi huru kila mtu ana uhuru wa kutoa maoni.
Ukweli nikwamba wabongo wengi ni rahisi kutoa ushauri ambao hawajaombwa na wala si lazima kwa mambo wasiyoyajua, wakati wao wenyewe wameshindwa kujiendeleza kwa mambo wanayotakiwa kuyajua.
Kwani kanumba amekufa mwaka 2017 ,si amekufa kitambo ...
Kamahayana point wewe ambaye umeyajibu na hata baada ya kuyajibu hujaonesha wapina vipihayana point ndiye ambaye huna point zaidi.Umeandika maneno mengi sana, lakini hayana point hata moja. Haya, kama unataka kula mavi we kula tu.
Hakuna kosa alilofanyaYeye alipovua nguo hadharani,ni inspiration gani aliyopotray kwa watoto?
Ndio amekufa kitambo. Je kuna umuhimu wa kumuongelea leo? Kabla hajafa alikuwa anatembea na huyo mtoto (wakati huo akiwa under 18) na wengi walijua. Walipaswa kuliongelea hili kipindi hicho
Kamahayana point wewe ambaye umeyajibu na hata baada ya kuyajibu hujaonesha wapina vipihayana point ndiye ambaye huna point zaidi.
Wewe ushaamua kula mavi tayari, hujajua tu.
Kwa sababu ushazoea.
Kuvua nguo hadharani siyo kosa? Kuvuta Bangi siyo kosa?Hakuna kosa alilofanya
Sijawahi sikia mtu kashtakiwa kwa kuvua ndio hadharani, kuvua bangi nasikia tu sijawahi kumuonaKuvua nguo hadharani siyo kosa? Kuvuta Bangi siyo kosa?
Ilikua ni siri yaoNdio amekufa kitambo. Je kuna umuhimu wa kumuongelea leo? Kabla hajafa alikuwa anatembea na huyo mtoto (wakati huo akiwa under 18) na wengi walijua. Walipaswa kuliongelea hili kipindi hicho
Nitakutafutia vifungu vya Sheria.Cha msingi ni kwamba hata kama ni vizuri kusema ukweli,unaongea Mara Moja unamaliza siyo kila Wakati tena unamponda mtu ambaye hayupo, hawezi kujitetea,hapo tunakiuka kanuni ya natural justice yaani "Audi alteram partem."Sijawahi sikia mtu kashtakiwa kwa kuvua ndio hadharani, kuvua bangi nasikia tu sijawahi kumuona
OK Mkuu nimekusomaNitakutafutia vifungu vya Sheria.Cha msingi ni kwamba hata kama ni vizuri kusema ukweli,unaongea Mara Moja unamaliza siyo kila Wakati tena unamponda mtu ambaye hayupo, hawezi kujitetea,hapo tunakiuka kanuni ya natural justice yaani "Audi alteram partem."
Ndio amekufa kitambo. Je kuna umuhimu wa kumuongelea leo? Kabla hajafa alikuwa anatembea na huyo mtoto (wakati huo akiwa under 18) na wengi walijua. Walipaswa kuliongelea hili kipindi hicho
Ulijuwa kuwa kanumba anatembea na lulu?Ndio amekufa kitambo. Je kuna umuhimu wa kumuongelea leo? Kabla hajafa alikuwa anatembea na huyo mtoto (wakati huo akiwa under 18) na wengi walijua. Walipaswa kuliongelea hili kipindi hicho
Nimecheka kwa sauti ha ha haYeye alipovua nguo hadharani,ni inspiration gani aliyopotray kwa watoto?