Afande Sele atashtakiwa kwa kosa gani baada ya kumtukana Mungu?

Afande Sele atashtakiwa kwa kosa gani baada ya kumtukana Mungu?

Kaogopa kufa tu lakini mwanaume kamili husimama nyuma ya maneno yake...kwani wale masheikh ni wachawi au??Afande aache kuogopa wachawi hawamuwezi labda wamfate kumuuua physically
 
Jamaa alikua kichwa sana hapo zamani kama nyimbo yake ya darubini,, sema wew ana AMUK ndani yake
 
mbona Remi Ongala alishasema kuwa habari za mungu sio za kuamini?
 
Huenda bwana Selemani Msindi amefanya makosa lakini ni lipi kosa lake kisheria? Nani wakumshtaki? Nani aliefanyiwa kosa?

Tukianza na kosa lake kisheria, kifungu namba 129 cha kanuni ya adhabu sura ya 16 kinaeleza kuwa Nikosa kuumiza hisia za imani ya kidini ya mtu mwingine kwa kuweka maneno,Ishara au picha mbele ya mtu huyo ambayo itaumuumiza hisia zake za kidini.

Hivyo kukashifu dini ya watu wengine ni makosa. Kifungu hicho hakisemi kukashifu Mungu.

Labda tunaweza kusema kuwa dini zinaamini Mungu, hivyo ukikashifu Mungu umekashifu dini.

Swali la pili litakuwa ni nani amekosewa? Hata kama tutasema kukashifu Mungu ni kukashifu dini na nikuumiza hisia za kidini za watu au mtu fulani.

Swali litakuwa ni dini ipi? Kuna dini zaidi ya 360 Duniani na kwenye baadhi ya dini kama wahindu na dini za kimila kuna Mungu zaidi ya mmoja. Swali linakuja kuwa ni Mungu yupi wa dini ipi alietukanwa na Selemani?

Kumbuka kuwa Kuna watu husema kuwa wao Mungu wao ni hela, hawa wana Mungu ila hawana dini.

Kufikia hapo tunagundua kuwa Selemani hana kosa lolote kisheria.

Pia soma>
Ujumbe wa Afande Sele akimlilia Magufuli
afande ni msanii kama Remi Ongala msikize adi mwisho hapa
 
View attachment 1730129

Baada ya kujirekodi akimtukana Mungu, hatimaye Afande Sele amesomewa dua ya kumuomba Mwenyezi Mungu amchukue kabla ya Ramadhan.


NA HAPA INAONYESHA MIUNGU WAKO WENGI, SISI WENGINE MUNGU WETU WALA HATETEWI NA KUPIGANIWA NA WANADAMU, NI YEYE ANAJIPIGANIA.

MUNGU WA KUTETEWA NA WANA DAMU NI MUNGU DHAIFU NA NI MUNGU WA WATU WA HOVYO HOVYO SANA:

MBONA KUNA BINADAMU KILA SIKU WANA MTUKANA MUNGU? KUFANYA MAPENZI KINYUME NA MAUMBILE NI KUTUKANA MUNGU!!! MBONA HAWA HAMUWASOMEI ALBADIR??

HUYO AFANDE SELE KAMA KAMTUKANA MUNGU NI SAWA, KOSA ALILOFANYA NI KUTO MTUMIA HIZO AUDIO CLIP HUYO MUNGU WAKE.
 
Kwani huyo afande sele ni polisi wa kituo gani cha polisi?
 
Back
Top Bottom