little master
JF-Expert Member
- Jul 16, 2018
- 1,870
- 3,589
Kwahiyo inabidi asaidiwe basi.ana haja
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kwahiyo inabidi asaidiwe basi.ana haja
Huyu kamanda ninkama yuko frustrated na jambo fulani. Hili povu si la kawaida.
Mbona hatumsomi kwenye History mkuu...? Ana nini cha zaidi hadi tutilie maanani asemacho?Vitoto vya juzi hamuwezi kumjua
Bakini na zuchu
Hii inaitwa point blank!, Cha Arusha, hakiongopi!.
Selemani weeh! Sele..Sele😀Sele yuko sawa, namsapoti mia kwa mia
Umejuaje kuwa bangi ya Arusha ndo nzuri zaidi?Hii inaitwa point blank!, Cha Arusha, hakiongopi!.
P
SNITCH ,yaani,mtu ambaye katika kura ya maoni anasema,"Nina mashaka yule ni kibaka".
Taratibu mkuu. Wait a minute cause I got a question…Masikini ndo silaha ya mwishomwisho ya ccm,ona sasa madhara ya kutumia bangi
1990 - CCM inatetewa na Horace Kolimba, Moses Nnauye, John Chiligati, Masatu Wasira.
2024- CCM inatetewa na Mwijaku, Stive Nyerere, Afande Sele, Masanja Mkandamizaji.
Hahaha msimchukie watakuja wengi kama yeye huu ndio msimu wao. Wakiishalipwa na Jeshi la mama yao utawasikia.Afande Sele yeye si ndio mwanasiasa Malaya. Alianzia CUF akaibukia CHADEMA na baadaye ACT. Mwishoni akaenda CCM. Sasa Kama ni Malaya yeye amekubuhu.
Pamoja na tuhuma zako kwake lakini alichoongea ni ukweli na hoja zake zina mashiko. Ila kama wewe ni chawa hautomwelewa.Kama Kuna mtanzani anaweza poteza mda wake kumsikiliza HUYU chizi atakua niwaajabu kuriko chizi mwenyewe sele kampoteza 20 pacent yapaswa tumpuuze
Huyo mbabu mwehu vijana wala msikilize ana shida ....akili bangi sanaa na maisha yame dont.....muacheni tùu
BANGI SIO NZURI
Sasa kama mtu aliwahi Mtukana Mungu nae hakujibu akikutukana mwanadamu ukajibu ni dhambi .kwan unamaanisha unahadhi ya kutotokanwa kuliko Mungu.
Hizo bangi anazolewa anavua suruali na analalaga na masela wa moro hawajagonga siku mingi sababu ya msokoto sidhan kama hawajamuwaha salama .BANGI MBAYA SANAView attachment 2980501