Afande Sele: Clouds hawawezi shindana tena na Wasafi

Afande Sele: Clouds hawawezi shindana tena na Wasafi

Sele ni Snich sana...... Tangu enzi za Geto boiz, watupori, antvirus, chadema, Act na sasa Ccm...... Anaubinafsi anaangaliA apate chake tu, shombo zote izo ni ili nae apate shavu ila ndo ivo hana bahat hiyo
 
Hahaha mnatapatapa na maneno ya mangekimavi
Clouds kupotea baada ya Ruge kuumwa ni yaleyale ya kumtegemea mtu badala ya taasisi.

Some bullshit wanaifanya wasafi, swala zima limebebwa na mtu siyo taasisi.

Ila pia kama Kusaga ndiyo mshikadau mkubwa hii inaweza kua ni hela nyingine tu itakayoingia Clouds, Kisa ujinga wa waTz wa kuendekeza chuki na unafiki.
 


Msikilize kwa makini Afande akielezea tathmini yake kuhusu show ya Wasafi vs Fiesta.

Pia kuna jambo la ukabila na ukanda amelizungumzia kama tuhuma kwa Clouds.

Anasema jinsi figisu za Clouds zilivyoua tunzo za Kili Awards ndio namna hiyo kwa namna hiyo Fiesta inaenda kupotea na Wasafi Festival ku-take over.

Eti'Fiesta inapita kama ushuzi mwanafunzi anajamba hewa inapita darasani wanacheka kwisha
 
Afande ameongea ukweli halisi.binafsi hakuna msanii anyeniumiza roho kama bele 9.pamoja na jamaa kujituma kote kule kimuziki, hajawahi pata tuzo hata moja ya KLM, na ni msanii mzuri mwenye vocal nzuri na mashairi mazuri.
Naunga mkono hoja ingawa sio concern yangu yy kupata au kukosa tuzo maana hayo ni binafsi zaid.
Kinachoniuma kuhus bele9 ni kwann hajapata recognition anayo deserve kutokana na jitahada , ubu ifu na uwezo alionao kwenye muziki??
Nini tatizo..nahis hili ndio limemkatisha tamaa jamaa hawiki tena
 
Ukisema hivyo mbona hata sugu alikuja kujitoa na kuwaacha watu km wagosi wa kaya na mapacha, dani msimamo, rama dee wakiwa hawaha uelekeo wowote...tuseme afande aliona mbali mapemaaaa akajikataa
Afande atoleee ufafanuzi kwanza zile tuhuma za kuhongwa taji la mfalme wa Rhymes kina Profesa Jay, Soggy, Solo Thang walilamikia sana hii issue

Amezungumzia pia Issues za Movement kama Antivirus, asidhani tumesahau kama aliwahi kuwatosa Antivirus dakika mwisho kabisa, kuna Show ya Antivirus na Clouds na zote zilikuwa zinafanyika siku moja Afande yeye alikuwa Antivirus lakini dakika za mwisho baada ya Clouds kupanda dau akahamia Clouds, Mwambie kumbukumbu zote tunazo
 
kiss fm
times fm
radio one
radio free africa
uhuru fm
tbc fm
Efm
EA radio

Yani pamoja na radio zote nilizotaja hapo juu mtu asipofanya vizuri bado anawasingizia Clouds Fm???
Nani anasikilza kiss fm au uhuru na radio free cku iz...watangazaji wakali wenyew wanakimbilia clouds...hizo radio zote kwa clouds wanasubiri sana.
 
kiss fm
times fm
radio one
radio free africa
uhuru fm
tbc fm
Efm
EA radio

Yani pamoja na radio zote nilizotaja hapo juu mtu asipofanya vizuri bado anawasingizia Clouds Fm???
Hujui kwamba redio nyingine zinafuata mkumbo wa Clouds? Yaani msanii akifanya vizuri clouds na wao wanapita humohumo
 
Back
Top Bottom