Mudawote
JF-Expert Member
- Jul 10, 2013
- 10,771
- 14,129
Refer kwa meneja wa TRC.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Refer kwa meneja wa TRC.
Atasema tu kama akiulizwa.Mwigulu anatakiwa kutuambia tozo anazokusanya kila mwezi ni shilingi ngapi na zinapelekwa kwenye matumizi, yapi ili tupime matumizi ya tozo tunazokatwa kama yanaendana na thamani ya hizo pesa, anavyokaa kimya maana yake anatuibia.
Ukiogopa kusema ukweli wewe ni kundi moja na wanaofanya maasi.Namhurumia wasije wakamtengua kiuno maana hali ya sasa ni mbaya mno
Kwani Afande sele havioni vituo vya Afya, zahanati, shule na huduma za maji na umeme vikijengwa ,kuboreshwa na kusambaza kila kukicha, mbona hata huku niliko Mimi naendelea kuona huduma karibu yangu huku wananchi wakiendelea kufurahia na kuridhishwa na namna fedha zilivyotumika, au yeye yupo wapi huko ambako haoni namna mh Rais alivyofanya kazi kubwa katika ujenzi wa miradi mbalimbali iliyosaidia pia kutoa ajira kwa vijana hasa wa maeneo husika
Miradi haiwezi kuachwa kujengwa maana watu tunaongezeka kila siku hivyo hata Mahitaji nayo yanaongezeka, jiulize hata hapo ulipo Kama idadi ya watu katika Sensa ya mwaka 1967 itakuwa sawa na hii ya 2022 au hata Ile ya 2012, hivyo zahanatia au vituo vya Afya, shule, huduma za maji na umeme vinaendelea kusambazwa kila siku na kila mwakaSasa izi zahanati nazo ni maendeleo Yani ichi yenye uhuru miaka 70 sasa bado unaongelea zahanati Mzee wangu? Tunataka miradi yenye faida iishe ili waache kutukata tozo pesa zipatikane huko kwenye miradi mikubwa na wanetu wapate ajira. Think big
Wamala go mlaunu. 😂Lini mishahara ilichelewa awamu ya 5? Nani alieanzisha kulipa mishahara trh 22 ya kila mwezi?
Kwanini msitafute namna nzuri tu ya kujitetea na tozo zenu kuliko hizi mfanyazo??
Jisemee mwenyewe wee chokoTozo zinajulikana matumizi yake maana sisi wananchi tunaona miradi mbalimbali ikijengwa na kuboreshwa, tunaona namna huduma zinavyosogezwa karibu yetu, Tunafurahi kuona tukiijenga nchi yetu kwa mikono yetu wenyewe
Wapi mshahara ulikuwa unachelewa? Jamaa alikuwa anatoa tarehe 24 tu.Dhambi nyingine ziepukeni! Hivi si humu humu watu walikuwa wanalalamika hadi mishahara inachelewa? Acheni unafk muende mbinguni,tozo mbaya ndio lakin kwangu ccm ni ile ile hakuna cha magu wala nn? Narudia acha unafk!
Walamba asali hawataki kukosolewaNamhurumia wasije wakamtengua kiuno maana hali ya sasa ni mbaya mno
CCM oyeeeeeeeeeeeeeeeAkili kubwa sana.
TOZO sawa lakini tuone miradi pesa zetu zinapoendea. Na mtu wakutueleza na kutuonyesha mradi huu zimetokana na pesa fulani. Magu alikuwa anatuonyesha kwa vitendo na tukibanwa kwenye tozo tunaridhika.
Nakumbuka kipindi cha Magu pesa mtaani kuanzia tarehe 20 hadi mwisho wa mwezi pesa mtaani zilikuwa zinaonekana ila huyu hatari 27 week end pesa hamna mtaani. Mzunguko wa pesa mtaani hamna,kama kungekuwa na miradi tungeziona pesa mtaani.
Mshamba huyo tena magufuli ndio alinyoosha ishu ya mshahara lazma utolewe kwa wakati. Sio kama enzi za yule mswahili mshahara unaenda hadi tarehe 32 ndio mnapokeaWapi mshahara ulikuwa unachelewa? Jamaa alikuwa anatoa tarehe 24 tu.
Oyeeeeeeee😂CCM oyeeeeeeeeeeeeeee
Sisi ikiwa wewe na nani? Mkundu kuwaka weweTozo zinajulikana matumizi yake maana sisi wananchi tunaona miradi mbalimbali ikijengwa na kuboreshwa, tunaona namna huduma zinavyosogezwa karibu yetu, Tunafurahi kuona tukiijenga nchi yetu kwa mikono yetu wenyewe
Inawezekana akawa mnufaika wa TOZO mkuu.Mshamba huyo tena magufuli ndio alinyoosha ishu ya mshahara lazma utolewe kwa wakati. Sio kama enzi za yule mswahili mshahara unaenda hadi tarehe 32 ndio mnapokea
Kakopa pesa IMF kujenga zahanati na tundu za choo.Sasa izi zahanati nazo ni maendeleo Yani ichi yenye uhuru miaka 70 sasa bado unaongelea zahanati Mzee wangu? Tunataka miradi yenye faida iishe ili waache kutukata tozo pesa zipatikane huko kwenye miradi mikubwa na wanetu wapate ajira. Think big
Kwani Afande sele havioni vituo vya Afya, zahanati, shule na huduma za maji na umeme vikijengwa ,kuboreshwa na kusambaza kila kukicha, mbona hata huku niliko Mimi naendelea kuona huduma karibu yangu huku wananchi wakiendelea kufurahia na kuridhishwa na namna fedha zilivyotumika, au yeye yupo wapi huko ambako haoni namna mh Rais alivyofanya kazi kubwa katika ujenzi wa miradi mbalimbali iliyosaidia pia kutoa ajira kwa vijana hasa wa maeneo husika
Ndio ushangae mtu aseme nimechangisha mchango kwa ajili ya harusi, ila nimekopa kwa ajili ya harusi pia. Ilihali michango ilitosheleza tayari.Kakopa pesa IMF kujenga zahanati na tundu za choo.
Karne hii kujenga tundu za choo unajisifu maendeleo.
[emoji24][emoji24][emoji24] umeongea kwa uchunguu..na nikweliiUjinga sana huu,mkuu anasema wale kwa urefu wa kamba zao,hiyo kauli ilibidi isitoke kinywani mwake,tuhurumiwe jamani,maisha magumu sana,TAMISEMI wametutema,SENSA wametutema,koneksheni zinatamalaki,mitaji ndiyo hivyo,halafu kinachouma zaidi ni waliobahatika kuingia kwenye system wanavyozidi kuzitafuna hela,sisi ambao toka miaka ya 2016,tuko mtaani,ajira Hanna,inatuuma sana,basi tu.
Kwani hujasikia tumemuongeza Muajentina kabla ya dirisha la usajili kufungwa?Akili kubwa sana.
TOZO sawa lakini tuone miradi pesa zetu zinapoendea. Na mtu wakutueleza na kutuonyesha mradi huu zimetokana na pesa fulani. Magu alikuwa anatuonyesha kwa vitendo na tukibanwa kwenye tozo tunaridhika.
Nakumbuka kipindi cha Magu pesa mtaani kuanzia tarehe 20 hadi mwisho wa mwezi pesa mtaani zilikuwa zinaonekana ila huyu hatari 27 week end pesa hamna mtaani. Mzunguko wa pesa mtaani hamna,kama kungekuwa na miradi tungeziona pesa mtaani.
Mkuu atakuaje ni mpuuzi wakati kalipwa 100M kwa show yake Moja tu na mpaka akadishiwa private jet ya kumleta na kumrudisha Wewe una huo ujasiri wa kukataa hiyo hela? Tusiwe lawama wasanii wakati hiyo ndio kula yao kwani naongea uongo mrangihao ni wapuuz ndio maana kule kenya alipoenda kumpigia kampen odinga walimpuuza maana walimuona ni mpuuz