Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Tumsamehe, alikuwa kwenye harakati za kutibu minyoo ya njaa tumboni.Mzee wa each one teach one unapiga kampeni za kuikataa Marekani at the same time we ndio umekuwa kama balozi wao wa kuioneshea dunia kuwa Tanzania hatuwezi bila Marekani
Aisee dunia ingekuwa bored sana kama Tanzania ingekosekanaTumsamehe, alikuwa kwenye harakati za kutibu minyoo ya njaa tumboni.
Kwani hujamwona Mrisho Mpoto naye anavaa viatu siku hizi licha ya kuvikataa hapo awali 😅
Ukishashikishwa kibunda hapo mradi watoto waende chooni harakati zako za kibaguzi na mengineyo weka pembeni lasivyo watoto watakufa njaa familia inakutegemea unategema nini bora uwe balozi upige hela mengine yatajulikana mbele kwa mbele?Mzee wa each one teach one unapiga kampeni za kuikataa Marekani at the same time we ndio umekuwa kama balozi wao wa kuioneshea dunia kuwa Tanzania hatuwezi bila Marekani
Wanasema ukiona Mbwa anabweka basi hujampatia fupa, ukimpatia tu hutaona anabweka tena.Aisee dunia ingekuwa bored sana kama Tanzania ingekosekana
Ni nchi ambayo hata kuwe na dhiki gani ila kila siku lazima raia wake watapata chakucheka tu.
Na ubalozi wa MAREKANI, walijua tu, waksema huo wimbo wala hata usifungiwe uachwe watu wasikilize watumie akili wenyewe.Leo Marekani wamekuwa rafiki zakeView attachment 2725999
🤣🤣Adui wako mwombee njaaHakuna umoja wa wenye njaa, akitokea mwenye chakula
Hivi Watanzania ni wavivu na wajinga na wapumbavu kiasi gani mpaka washindwe kuchimba shimo la Choo ?? Ndio sababu mkaitwa shithole country kwa sababu ya omba omba bila MpangoLeo Marekani wamekuwa rafiki zakeView attachment 2725999