Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Alisema "amani kwenye njaa, haitadumu..." kwenye dunia ina mambo. Hivyo hata harakati kwenye njaa ni kazi bure
Itikadi sahihi huwezi kuwa nje ya Chadema.Itikadi haviendani na njaa
Pengine unawaza labda washuke malaika kutu ongoza!Serikali inakimbilia kununua mavxr sahvi ya kumwaga,wanashindwa shulikia masuala ya choo [emoji1]
Kweli tz tuna shida kubwa
Ova
Naiona ikiwa pazuri sanaUkweli upi?
Dunia bila Marekani unaiona ikiwa wapi?
Njaa Mbaya sana.Itikadi haviendani na njaa
Sasa huyu akishavuta michicha yake hata rais atasema hamjui,kesho utamwona anampigia kampeni huyohuyo aliyesema hamjui,keshokutwa atakwambia haishi Tanzania.Mzee wa each one teach one unapiga kampeni za kuikataa Marekani at the same time we ndio umekuwa kama balozi wao wa kuioneshea dunia kuwa Tanzania hatuwezi bila Marekani
Sasa Choo nacho kichimbwe na Gavoo?Serikali inakimbilia kununua mavxr sahvi ya kumwaga,wanashindwa shulikia masuala ya choo [emoji1]
Kweli tz tuna shida kubwa
Ova
Watanzania ni tafsiri ya UMALAIKA.Aisee dunia ingekuwa bored sana kama Tanzania ingekosekana
Ni nchi ambayo hata kuwe na dhiki gani ila kila siku lazima raia wake watapata chakucheka tu.