Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kwanza ni aibu sanaHivi Watanzania ni wavivu na wajinga na wapumbavu kiasi gani mpaka washindwe kuchimba shimo la Choo ?? Ndio sababu mkaitwa shithole country kwa sababu ya omba omba bila Mpango
Uafrika hasa utanzania ni laana.Hivi Watanzania ni wavivu na wajinga na wapumbavu kiasi gani mpaka washindwe kuchimba shimo la Choo ?? Ndio sababu mkaitwa shithole country kwa sababu ya omba omba bila Mpango
Hahahahahaha,dahKama fid Q kaanza kuchana kwenye masingeli na Amapiano unategemea nini..
Njaa hubadili misimamo
Serikali inakimbilia kununua mavxr sahvi ya kumwaga,wanashindwa shulikia masuala ya choo [emoji1]Uafrika hasa utanzania ni laana.
Atanyoosha mikono 🙌 hata kama alikua shujaa🤣🤣Adui wako mwombee njaa
Hivi YANGA na CCM Wana undugu. Naona kama wanafananafanana hivi!Daaah! tumbo shikamooView attachment 2726256
Afande Select anafuga Rasta lakini siyo Rastafarian, usichanganye hapo.Mnafki sana
Marasta wala hawapo vile
Wakati anasema hakuna Mungu kwa sababu kamchukuwa Magufuli alikuwa anafanya sanaa?Ila jf ina vilaza aisee, dah!!!
Sasa kuna uhusiano gani kati ya alichokiimba (kazi zake za sanaa) na harakati zake za kupiga pesa?!!! Mnajua maana ya sanaa nyie?!!!
Kwahiyo hawa ndo great thinkers yaani?!!!!!!!
Daaah! tumbo shikamooView attachment 2726256
Kwanza jua kutofatisha kati ya arts na hypocrisy.Ila jf ina vilaza aisee, dah!!!
Sasa kuna uhusiano gani kati ya alichokiimba (kazi zake za sanaa) na harakati zake za kupiga pesa?!!! Mnajua maana ya sanaa nyie?!!!
Kwahiyo hawa ndo great thinkers yaani?!!!!!!!
Huyu aliwatukana sana Marekani huyu. Marekani wakaenda kumpa tonge kumbe yakikua ni matusi sababu ya njaa na dhiki.
Trust no one kwa kweli, ndiyo maana watu wanasema wapinga ushoga ndiyo mashoga wakuuMzee wa each one teach one unapiga kampeni za kuikataa Marekani at the same time we ndio umekuwa kama balozi wao wa kuioneshea dunia kuwa Tanzania hatuwezi bila Marekani
Marekani walijua tu huyu anapitia njaaHuyu aliwatukana sana Marekani huyu. Marekani wakaenda kumpa tonge kumbe yakikua ni matusi sababu ya njaa na dhiki.
Ndiyo yaleyale ya "Death to America" halafu mnajikuta wapo mbele kabisa kwa wingi kwenye foleni ya Visa na kwenye green card...
Kwani alikuwa na athari gani kwa marekani hadi wajilazimishe kumpa mikataba?!!!Huyu aliwatukana sana Marekani huyu. Marekani wakaenda kumpa tonge kumbe yakikua ni matusi sababu ya njaa na dhiki.
Ndiyo yaleyale ya "Death to America" halafu mnajikuta wapo mbele kabisa kwa wingi kwenye foleni ya Visa na kwenye green card...
Watu wanasema hiyo ndiyo tabia halisi ya Wana MoroMarekani walijua tu huyu anapitia njaa
Saizi inaonekana maharage yameanza kuchemka nyumbani anaanza kuwaita Marekani marafiki.