Afande Sele tushike lipi sasa mbona unatuchanganya?

Afande Sele tushike lipi sasa mbona unatuchanganya?

Ila jf ina vilaza aisee, dah!!!

Sasa kuna uhusiano gani kati ya alichokiimba (kazi zake za sanaa) na harakati zake za kupiga pesa?!!! Mnajua maana ya sanaa nyie?!!!

Kwahiyo hawa ndo great thinkers yaani?!!!!!!!
 
Ila jf ina vilaza aisee, dah!!!

Sasa kuna uhusiano gani kati ya alichokiimba (kazi zake za sanaa) na harakati zake za kupiga pesa?!!! Mnajua maana ya sanaa nyie?!!!

Kwahiyo hawa ndo great thinkers yaani?!!!!!!!
Wakati anasema hakuna Mungu kwa sababu kamchukuwa Magufuli alikuwa anafanya sanaa?

Unajaribu kupulizia kinyesi pafyumu utafanikiwa?
 
20230601_215742.jpg
 
Ila jf ina vilaza aisee, dah!!!

Sasa kuna uhusiano gani kati ya alichokiimba (kazi zake za sanaa) na harakati zake za kupiga pesa?!!! Mnajua maana ya sanaa nyie?!!!

Kwahiyo hawa ndo great thinkers yaani?!!!!!!!
Kwanza jua kutofatisha kati ya arts na hypocrisy.

Alichokifanya Sele ni hypocrisy na hypocrisy haikubaliki katika misingi ya Hip Hop.

Kwani kuipinga Marekani sio sehemu ya harakati zake?

Sanaa ni kuelimisha sio kupotosha.

Unatumiaje sanaa kuwaongopea watu waamini kuwa dunia bila Marekani ni sehemu bora ilihali kula yako tu inamtegemea huyo huyo Marekani?
 
Mzee wa each one teach one unapiga kampeni za kuikataa Marekani at the same time we ndio umekuwa kama balozi wao wa kuioneshea dunia kuwa Tanzania hatuwezi bila Marekani
Trust no one kwa kweli, ndiyo maana watu wanasema wapinga ushoga ndiyo mashoga wakuu
 
Huyu aliwatukana sana Marekani huyu. Marekani wakaenda kumpa tonge kumbe yakikua ni matusi sababu ya njaa na dhiki.
Ndiyo yaleyale ya "Death to America" halafu mnajikuta wapo mbele kabisa kwa wingi kwenye foleni ya Visa na kwenye green card...
Marekani walijua tu huyu anapitia njaa

Saizi inaonekana maharage yameanza kuchemka nyumbani anaanza kuwaita Marekani marafiki.
 
Huyu aliwatukana sana Marekani huyu. Marekani wakaenda kumpa tonge kumbe yakikua ni matusi sababu ya njaa na dhiki.
Ndiyo yaleyale ya "Death to America" halafu mnajikuta wapo mbele kabisa kwa wingi kwenye foleni ya Visa na kwenye green card...
Kwani alikuwa na athari gani kwa marekani hadi wajilazimishe kumpa mikataba?!!!
 
Kuendelea kupewa misaada ya vyoo in any way, shape or form miaka 60 baada ya uhuru ni tusi kubwa sana.
 
Back
Top Bottom