Afande Sele: Wanangu, nikifa mnichome moto


Siku hizi watu wanazikwa kwa kujengewa vijumba kabisa. Yani kaburi inajengeea kijumba kinachodumu zaidi ya miaka 100!

Hata majivu yanakuwa recycled. Ukichomwa moto unakuwa recycled kuanzia dakika unayochomwa moto.

Na hutashikilia ardhi ya mtu hata kwa dakika na kuleta mgogoro wowote kama hao waliozikwa makaburi ya Tambaza.

Kuzikwa au kuchomwa ni haki ya kiutu ya kila mtu na hivyo, kama habari za dini, kila mtu ana uhuru wa kufuata atakavyo.

Ila kuchomwa moto inaondoa unnecessary land use.
 
Sio kosa lako na wala hupaswi kulaumiwa... Nimekujibu ulichouliza kama hujakipenda hainihusu
Kwa hiyo majibu ya swali yanatolewa kwa kuangalia muulizaji atalipenda ama la ?

Duuu ndio maana umeingia kwenye ulozi huku kwengine ungetia aibu endelea kuwaokota huko

Na tufanye ni kosa nani wa kunilaumu humu kwenye ghost Ids ?

Watu Jf sijui mnaichukuliaje
 
Ahahah!! Kumbe siku nyingi umemuona huyu Mshana Jr
Ni aina ya mtu anaye ona makosa ya wenzie ila sasa yeye hataki kuonekana ana makosa ,angekuwa msomi ningesema ana intellectual arrogance sasa huko kwenye Ulozi sijui tunaitaje

Sasa mtu anakuambia ana uhakika Afande Sele atakufa kabla yake ,huyo mtu ni mzima ?
 
Bangi za milimani izo na ukata ndio unamusumbua!!!!.
 
Nilifikiri ni mimi pekee ninaeona matatizo yake kumbe hata wakongwe kama nyinyi.
 
Itakuwa gharama kubwa naona Kenya wamepiga hatua kubwa sana
Tuna safari kubwa mpaka kufikia hatua ya kuzika kwa njia ya kuchoma miili kwa sababu
. Tamaduni zilizotulea hazina hilo jambo kiasili
. Dini zetu kuu mbili hazijatufundisha kufanya hivyo na hapa zina wafuasi wengi sana
. Bado tuna ardhi kubwa ya kutosha kuzikia
. Bado hatuna maandalizi yoyote ya matanuri ya kuchomea (matanuri ya gesi)

. Hatuna makaburi ya kuhifadhi majivu (mabaki) ambayo yamekaa kama masanduku ya posta

Hii ni mpango mkakati unaohitaji maandalizi mengi sana... Lakini je hili kwasasa ndio kipaumbele chetu?
 
Teh ...

Hata mimi nimeomba nkifa nchomwe moto !

Ova
 
Bado tuna safari ndefu
 
Kwani kuchomwa moto ndiyo Ustaarabu, Mbona hata nchi zilizoebdelea zinamakaburi.

Ukisha kufa umekufa maiti haijui ustaarabu, utupwe bila kuzika, uzikwe, uchomwe moto, ama umwagiwe tindikali uyeyuke. Bado maiti haitambui kinachoendelea.

Hata uwe mstaarabu vipi, ukifia ndani ukiwa unaishi peke yako, watu wasipogundua utaozea kwenye coach ama kitandani.

Ustaarabu utabaki kwa walio hai tu.
Safi, Selemani ni mmoja wa weusi wachache ambao wameshastaarabika, Hana ushamba akilini.
 
Huko hawaharibu mazingira, kwa harufu ya nyama choma ya Binadaam, maana miili mingine hukarbia kuharibika, sijui kama wakati wa kuchomwa panakalika.
Harufu kama tuko mnadani
 
Ugonjwa waakili dalili zake ndio kama hizo.
Huyo jamaa anamatatizo ktk mfumo wake wa akili.
 
Swahiba ninachoweza kusema kuwa hiyo fursa tayari umeona aandike invoice mfunge mkataba
 
Aache kabisa na hela ya kuni, sio atusumbue tuu tuliobaki.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…