Kiranga
Platinum Member
- Jan 29, 2009
- 78,790
- 128,275
Mkuu binafsi huwa naamini Dunia inarecycle kila kitu kwani binadamu anapozikwa wale worms wanachukua nutrients, energy e.t.c from decaying body ambazo yule binadamu alizokusanya katika maisha yake Yote aliyoishi Duniani na kuzirudisha kwenye udongo ili ardhi ipate rutuba.
Ndio sababu part ya Germany wanazika mtu Kwa miaka ishirini baada ya decomposition ya tissue kuwa imefanyika basi wanafukua mifupa na kuifanyia cremation.
Ni sawa na mfumo mzima upumuaji kati ya binadamu na mmea. Mimea inatoa oxygen kama waste product ambayo kwetu sisi tunahitaji na sisi tunatoa carbon dioxide ambayo mimea inahiitaji.
Nafikiri ni busara sana mtu kuzikwa kwa ajili ya sustainable world's ecosystem.
Its more natural, wild, Free and affordable.
Siku hizi watu wanazikwa kwa kujengewa vijumba kabisa. Yani kaburi inajengeea kijumba kinachodumu zaidi ya miaka 100!
Hata majivu yanakuwa recycled. Ukichomwa moto unakuwa recycled kuanzia dakika unayochomwa moto.
Na hutashikilia ardhi ya mtu hata kwa dakika na kuleta mgogoro wowote kama hao waliozikwa makaburi ya Tambaza.
Kuzikwa au kuchomwa ni haki ya kiutu ya kila mtu na hivyo, kama habari za dini, kila mtu ana uhuru wa kufuata atakavyo.
Ila kuchomwa moto inaondoa unnecessary land use.