Justin Dimee
JF-Expert Member
- Apr 17, 2012
- 1,146
- 248
Ni wiki ilio pita nili sikiliza radio nika sikia uowimbo
unafafanua kuwa watz. Tusivuruge amani yetu kwa ajili ya udini.
Anasema ukristu kauleta mjerumani na uslamu kauleta mwarabu kipindi icho cha ukoloni na kabla ya ukoloni mababu zetu walikua na imani zao tofauti na za sasa nawalikua wakiomba kwa mungu na walikua wakijibiwa.
Namuelewa sana uyo msanii kioo cha jamii man seleman.
Sasa ukiusikiliza wimbo mtaaelewa kua dini zimekuja tu tena na melii.
Afande seleman ametisha.
unafafanua kuwa watz. Tusivuruge amani yetu kwa ajili ya udini.
Anasema ukristu kauleta mjerumani na uslamu kauleta mwarabu kipindi icho cha ukoloni na kabla ya ukoloni mababu zetu walikua na imani zao tofauti na za sasa nawalikua wakiomba kwa mungu na walikua wakijibiwa.
Namuelewa sana uyo msanii kioo cha jamii man seleman.
Sasa ukiusikiliza wimbo mtaaelewa kua dini zimekuja tu tena na melii.
Afande seleman ametisha.