Afariki baada ya kudaiwa kulishwa saruji na askari wa JWTZ

Afariki baada ya kudaiwa kulishwa saruji na askari wa JWTZ

lwambof07

JF-Expert Member
Joined
Jul 12, 2016
Posts
4,643
Reaction score
5,335
Ila hawa jamaa hawa dah


IMG_20220110_104330.jpg
 
Wanajeshi tunawachekea sana. Kuna watu unakuta wanakaa wanasifia hivi vitendo vyao vya kishenzi.
Juzi walikaribia kumtesa mtu mmoja asiyekuwa na hatia pale makongo.
Jamaa alikuwa anatokea mwenge. Alipofika pale Getini VTC lugalo akakaomba msaada askari mmoja mlevi naye akamuita ndani wakaanza kumpiga
Ati wanamuuliza una simu kama hii halafu u makosa nauli?
Pumbavu sana hawa
 
Back
Top Bottom