Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kwa hiyo alistahili kuuliwa kinyama hivyo? Tuanzie hapo mkuu.Kwanini aliiba kuku?
Sio kweli huku Zenji wala hawaogopeki kma mnavowaogopa huko Barajamii nzima inawaogopa hawa watu ujue
Acha kuhalalisha ujinga.Kwanini aliiba kuku?
[emoji1787][emoji1787]yan hawa jamaa dah sijui hii kitu itaisha lini yan unaweza ukawa huna kosa kabisa ila sasa ukipita hapo kambini kwao utakutwa na kosa tu kama traffic vile akikusimamisha hakosi kosa hata kwenye zile kambi zao za makazi mfano ile ya Kigambon kule nilienda kumchek jamaa yangu yaan bila ya yeye kutokea washaanza kunigeuza nyamaJuzi walikaribia kumtesa mtu mmoja asiyekuwa na hatia pale makongo.
Jamaa alikuwa anatokea mwenge. Alipofika pale Getini VTC lugalo akakaomba msaada askari mmoja mlevi naye akamuita ndani wakaanza kumpiga
Ati wanamuuliza una simu kama hii halafu u makosa nauli?
Pumbavu sana hawa
Kwa vitendo hivi kuna mwenzao mmoja mwaka juzi mkoani Tabora alikutwa ameuawa wakati akitoka doria.wanakujaga na lori zima wao ni kutembeza kichapo tu dah
Nyie ni waoga sana ndo mna mnaonewa kwn unadhani huku hao wa bara hawapo?wa bara tofaut na huku itakuwa karibu bara halafu Jichanganye pale Makongo ndo utajua hujui
hawa jamaa sheria wanakuwaga nayo wenyewe mikononi mwao yaan wao ndio mahakama na jaji humo humo wanafanyaga mambo ya ajabu sanaWapumbavu sana hawa jamaaa, wanaua raia kila mara kwa mambo ya kipuuzi. Kama mwizi kwa nini usimpeleke Polisi then kwa court.
Kwanza kabisa kazi ya kwanza ya mwanajeshi ni kulinda nchi pamoja na raia wake wote sasa huyu jamaa sijui katekeleza jukumu gani kwa huyu raiatusiwafundishe tu ukakamavu na mbinu za kivita hawa wanajeshi wetu huko makambini...
Wanapaswa pia kufundishwa namna ya kuishi na raia huku uraiani...
Sheria zetu zipewe meno makali dhidi ya watu hawa wanapofanya uonevi kwa raia..
Jeshi letu la polisi lipewe meno kwa kushirikiana na MPs yanapotokea mambo kama haya..
Ni hatari sana kuwa na askari wasio na nidhamu kama huyu mpumbavu..
Kwa hiyo wazanzibar nyie ni majasiri kuliko bara kwa wakurya?Nyie ni waoga sana ndo mna mnaonewa kwn unadhani huku hao wa bara hawapo?