Afariki dunia akijaribu kutoa ujauzito

Afariki dunia akijaribu kutoa ujauzito

Hivi njiti hazina shida dina?
Zina shida tena kubwa ila ni siku za usoni, hizi kansa unazozisikia na kuzisoma mojawapo ya chanzo ni njia za uzazi wa mpango.

Lakini pia kuna shida ya kushika mimba wadada wengi wanataabika na janga hili.

Take care mrembo japo najua hutumii
 
sio vizur kuwahukum mabint waobeba mimba kabla ya ndoa au wakiwa bado shulen.
Hata mwanaume alietembea nae amefanya kosa ila utashangaa lawama zinaishia kwa mtoto wa kike

Tusiwakatishe tamaa bado wanauwezo wakuzifikia ndoto zao hata baada ya kujifungua.

Mimi nikiwa chuo nilifundishwa na LECTURE aliebeba mimba akiwa bado shulen akakatsha masomo
Lakini baadae alirud shule akaendelea na masomo hadi kufikia hatua ya kuwa LECTURE
Nawewe pia umefika chuo kwa uandishi huu wa LECTURE badala ya....[emoji28][emoji28] jokes
 
Mwanamke ambae ajawahi kuua kwa kutoa mimba ndo anaweza itwa bikira
 
Zina shida tena kubwa ila ni siku za usoni, hizi kansa unazozisikia na kuzisoma mojawapo ya chanzo ni njia za uzazi wa mpango.

Lakini pia kuna shida ya kushika mimba wadada wengi wanataabika na janga hili.

Take care mrembo japo najua hutumii
Thanx my duh ..sijawahi tumia
 
Imenibidi nisubiri tuzike kwanza ili machungu yaishe, Kisha nilete Uzi hapa.

Ni ndugu yangu, ki ukoo yeye ni dada yangu, lakini upande wa mama huko. Mimi niliambiwa tu huyu ni dada yako na sikutaka kujua zaidi maana ishu za ukoo zinanichanganya sana.

Tumeonana December mwishoni tulipoenda kusalimia nyumbani Tukuyu.

Haijapita hata wiki toka tumeondoka kijijini tunapigiwa simu yule dogo amefariki dunia huku chanzo ikidaiwa ni kujaribu kutoa ujauzito Kwa dawa za mitishamba zilizompelekea kutoka damu nyingi mpaka mauti yalipomkuta.

Inaelezwa kwamba alikua alihofia kufukuzwa shule alikua anaingia kidato Cha tatu januari hii.

Pia alihofia ukali wa wazazi wake kwani wangeweza mfukuza nyumbani[emoji29]

So sad, miaka 17 tumeshampoteza
#Zinaa haijawahi kumuacha mtu Salama#

Stori za hpa jf tu zinazidi kuthibitisha hilo


Wala usiikaribie zinaa kwani ni uchafu na ni njia mbaya kabisa
 
#Zinaa haijawahi kumuacha mtu Salama#

Stori za hpa jf tu zinazidi kuthibitisha hilo


Wala usiikaribie zinaa kwani ni uchafu na ni njia mbaya kabisa
Mmhhh!! Kwa kusema hivyo ina maana Watu wasipigane miti we jamaa vipi aisee!!!

Kila la mtu kivyake cha muhimu umakini
 
Umri huo kwa watoto wa kike ni hatari sana,ukiona mwanao kapita hapo mpk kafikia level ya chuo shukuru Mungu,vishawishi ni vingi sana,sasa hivi kuna boda boda,wanafunzi wenzie,mibaaazazi mijitu mizima nayo imo,ni shida kwakweli...
Inategemea na wanavyojiweka. Binti akiwa na msimamo anatisha,hasogeleki

Sent from my 2201116TG using JamiiForums mobile app
 
sio vizur kuwahukum mabint waobeba mimba kabla ya ndoa au wakiwa bado shulen.
Hata mwanaume alietembea nae amefanya kosa ila utashangaa lawama zinaishia kwa mtoto wa kike

Tusiwakatishe tamaa bado wanauwezo wakuzifikia ndoto zao hata baada ya kujifungua.

Mimi nikiwa chuo nilifundishwa na LECTURE aliebeba mimba akiwa bado shulen akakatsha masomo
Lakini baadae alirud shule akaendelea na masomo hadi kufikia hatua ya kuwa LECTURE
Hawajahukumiwa ila analaumiwa pale anapopata mimba halafu anakazana kuitoa.
 
Kwenye masomo na kulea
Je, ukiahirisha masomo na ukalea mimba (say 4 months) na mtoto mwaka 1 si utarudi shuleni kuendelea na masomo? Kwa hiyo unaUa mtu ili uendelee na masomo na uepukane na kulea? Hapana mtani wangu hiyo thikubaliani nayo kabithaaa
 
Back
Top Bottom