Zina shida tena kubwa ila ni siku za usoni, hizi kansa unazozisikia na kuzisoma mojawapo ya chanzo ni njia za uzazi wa mpango.Hivi njiti hazina shida dina?
Sijui hyo mitishamba waliipimaje kwamba inatoa mimba...sipati pikcha hayo maumivu yakeNdo amtoe kwa mitishamba jaman..
Hapo tu ndo wanaume mnapokwama. Angetoa hela mwenzake afanyiwe procedure ya kitaalamu
Nawewe pia umefika chuo kwa uandishi huu wa LECTURE badala ya....[emoji28][emoji28] jokessio vizur kuwahukum mabint waobeba mimba kabla ya ndoa au wakiwa bado shulen.
Hata mwanaume alietembea nae amefanya kosa ila utashangaa lawama zinaishia kwa mtoto wa kike
Tusiwakatishe tamaa bado wanauwezo wakuzifikia ndoto zao hata baada ya kujifungua.
Mimi nikiwa chuo nilifundishwa na LECTURE aliebeba mimba akiwa bado shulen akakatsha masomo
Lakini baadae alirud shule akaendelea na masomo hadi kufikia hatua ya kuwa LECTURE
Pamoja na hilo, why isiwe halali kutoa.. haya mambo ya kutoa kwa njia sio sahihi yanacost.Watu waruhusiwe kwenda na mimba darasani
Thanx my duh ..sijawahi tumiaZina shida tena kubwa ila ni siku za usoni, hizi kansa unazozisikia na kuzisoma mojawapo ya chanzo ni njia za uzazi wa mpango.
Lakini pia kuna shida ya kushika mimba wadada wengi wanataabika na janga hili.
Take care mrembo japo najua hutumii
#Zinaa haijawahi kumuacha mtu Salama#Imenibidi nisubiri tuzike kwanza ili machungu yaishe, Kisha nilete Uzi hapa.
Ni ndugu yangu, ki ukoo yeye ni dada yangu, lakini upande wa mama huko. Mimi niliambiwa tu huyu ni dada yako na sikutaka kujua zaidi maana ishu za ukoo zinanichanganya sana.
Tumeonana December mwishoni tulipoenda kusalimia nyumbani Tukuyu.
Haijapita hata wiki toka tumeondoka kijijini tunapigiwa simu yule dogo amefariki dunia huku chanzo ikidaiwa ni kujaribu kutoa ujauzito Kwa dawa za mitishamba zilizompelekea kutoka damu nyingi mpaka mauti yalipomkuta.
Inaelezwa kwamba alikua alihofia kufukuzwa shule alikua anaingia kidato Cha tatu januari hii.
Pia alihofia ukali wa wazazi wake kwani wangeweza mfukuza nyumbani[emoji29]
So sad, miaka 17 tumeshampoteza
Poa, elimisha na wapendwa wengine hivi hujiulizi hiyo mechanism inayoweza badilisha mzunguko mara mtu aone siku mara asione then anakaa hivyo kwa miaka kadhaa. Ni bomu hilo shktukaThanx my duh ..sijawahi tumia
Mmhhh!! Kwa kusema hivyo ina maana Watu wasipigane miti we jamaa vipi aisee!!!#Zinaa haijawahi kumuacha mtu Salama#
Stori za hpa jf tu zinazidi kuthibitisha hilo
Wala usiikaribie zinaa kwani ni uchafu na ni njia mbaya kabisa
Endeleeni sasa na mtaendelea kufa tuMmhhh!! Kwa kusema hivyo ina maana Watu wasipigane miti we jamaa vipi aisee!!!
Kila la mtu kivyake cha muhimu umakini
Sawa wewe utaishi mkuuEndeleeni sasa na mtaendelea kufa tu
Kwenye masomo na kuleaKuzaa kuna shida gani?
Kwa ku-Ua 2 siyo?. Lakini imeandikwa katika mojawapo ya zile amri kumi... 'Usiue".Kuna jamaa kasevu miaka 30 jela!
Yaniii we Acha tuuSijui hyo mitishamba waliipimaje kwamba inatoa mimba...sipati pikcha hayo maumivu yake
Inategemea na wanavyojiweka. Binti akiwa na msimamo anatisha,hasogelekiUmri huo kwa watoto wa kike ni hatari sana,ukiona mwanao kapita hapo mpk kafikia level ya chuo shukuru Mungu,vishawishi ni vingi sana,sasa hivi kuna boda boda,wanafunzi wenzie,mibaaazazi mijitu mizima nayo imo,ni shida kwakweli...
Hawajahukumiwa ila analaumiwa pale anapopata mimba halafu anakazana kuitoa.sio vizur kuwahukum mabint waobeba mimba kabla ya ndoa au wakiwa bado shulen.
Hata mwanaume alietembea nae amefanya kosa ila utashangaa lawama zinaishia kwa mtoto wa kike
Tusiwakatishe tamaa bado wanauwezo wakuzifikia ndoto zao hata baada ya kujifungua.
Mimi nikiwa chuo nilifundishwa na LECTURE aliebeba mimba akiwa bado shulen akakatsha masomo
Lakini baadae alirud shule akaendelea na masomo hadi kufikia hatua ya kuwa LECTURE
Je, ukiahirisha masomo na ukalea mimba (say 4 months) na mtoto mwaka 1 si utarudi shuleni kuendelea na masomo? Kwa hiyo unaUa mtu ili uendelee na masomo na uepukane na kulea? Hapana mtani wangu hiyo thikubaliani nayo kabithaaaKwenye masomo na kulea
Acha ubishi mkuu tendo la ndoa ni kwa ajili ya wanandoaSawa wewe utaishi mkuu
Kweli maadili yameshuka sana, wacha vijana wazikimbie ndoa. Wazazi wenyewe wanafyatua makahaba